wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,210
- 37,865
Utakuwa una matatizo, hakuna mtu mwenye uwezo wa kununua hiyo gari halafu aje akodishe kwako siku ya harusi, huo ni umburula uliopitiliza! Mimi nina Toyota Landcruiser 200 (GXR) ya mwaka 12/2013 na kamwe siwezi kuikodisha kwa maana kama mkigonga hiyo gharama ya kuitengeneza ni sawa na harusi yako yote pmj na sendoff!
Umeulizwa?