Nahitaji Range rover sport ya kukodisha kwenye harusi

Nahitaji Range rover sport ya kukodisha kwenye harusi

Utakuwa una matatizo, hakuna mtu mwenye uwezo wa kununua hiyo gari halafu aje akodishe kwako siku ya harusi, huo ni umburula uliopitiliza! Mimi nina Toyota Landcruiser 200 (GXR) ya mwaka 12/2013 na kamwe siwezi kuikodisha kwa maana kama mkigonga hiyo gharama ya kuitengeneza ni sawa na harusi yako yote pmj na sendoff!

Umeulizwa?
 
Utakuwa una matatizo, hakuna mtu mwenye uwezo wa kununua hiyo gari halafu aje akodishe kwako siku ya harusi, huo ni umburula uliopitiliza! Mimi nina Toyota Landcruiser 200 (GXR) ya mwaka 12/2013 na kamwe siwezi kuikodisha kwa maana kama mkigonga hiyo gharama ya kuitengeneza ni sawa na harusi yako yote pmj na sendoff!

acha mbwembwe wewe ! range ziko ngapi na ma hammer zinakodishwa zipo hadi limosene, unataka kusema wenye hizo gari wameziokota hawajazinunua
acha mikwalaaaaa watu wana gari hizo na wanakodisha
 
Utakuwa una matatizo, hakuna mtu mwenye uwezo wa kununua hiyo gari halafu aje akodishe kwako siku ya harusi, huo ni umburula uliopitiliza! Mimi nina Toyota Landcruiser 200 (GXR) ya mwaka 12/2013 na kamwe siwezi kuikodisha kwa maana kama mkigonga hiyo gharama ya kuitengeneza ni sawa na harusi yako yote pmj na sendoff!
Mkuu kuna car hire companies wana magari expensive tu na wanakodisha. It is their business
 
Utakuwa una matatizo, hakuna mtu mwenye uwezo wa kununua hiyo gari halafu aje akodishe kwako siku ya harusi, huo ni umburula uliopitiliza! Mimi nina Toyota Landcruiser 200 (GXR) ya mwaka 12/2013 na kamwe siwezi kuikodisha kwa maana kama mkigonga hiyo gharama ya kuitengeneza ni sawa na harusi yako yote pmj na sendoff!

Mmm ule mkokoteni umeshakuwa Landcruiser 200 GXR!. Wapi au kwa Fundi Gani uliuchongea?
 
Jamani Puma hamtaki........nakodisha yangu........
 
Kwa yoyote mwenye kuhitaji hayo magari,Range,BMW X5,Verossa,Noah,coaster..anicheki 0755 927881
 
Ha ha ha !!
Mkuu ndicho kitu najaribu kubaeleza batu hapa kwa njia nyingine, habelewi!
Mtu hajui kuwa mtu mwenye gari la Tshs 300+million hana shida ya kukodisha gari lake hata kwa laki tano kwa siku, maana potential damage ya kuibiwa side mirror tu usumbufu wake ni zaidi ya hapo.
Watu waishi kwa uwezo wao.

Hizi ni akili za kitumwa sasa umenunua gari milioni 70 unaogopa side mirror ya 250,000 kweli umasikini umekujaaa...hata kama hiyo side mirror ni milioni 1 umeweza kununua gari la milioni 70 au zaidi utashindwa kweli hapo ennhh?
 
Hizi ni akili za kitumwa sasa umenunua gari milioni 70 unaogopa side mirror ya 250,000 kweli umasikini umekujaaa...hata kama hiyo side mirror ni milioni 1 umeweza kununua gari la milioni 70 au zaidi utashindwa kweli hapo ennhh?
You have to be a poor man to think on those lines!
Watu hamjui kuwa matajiri ambao wameipata hela yao kwa shida ni watu very economical!
Kaombe msaada kwa Richard Branson kama utaambulia kitu.
 
Back
Top Bottom