Wadau, natafuta range rover sport ya kukodisha kwenye harusi siku ya jumapili tarehe 14/12. Gari itapambiwa school of law karibu na kituo kipya cha daladala cha ubungo then itaenda kumchukua bibi harusi Sinza Africa sana then itaenda kanisani Magomeni Mwembechai then itaenda EPZA Ubungo external then itaenda ukumbini school of law karibu na kituo kipya cha daladala ubungo.
Baada ya harusi kuisha gari itawapeleka maharusi city style hotel takribani mita 500 kutoka ukumbini.
Mwenye gari ani pm then aweke na bei.
Baada ya harusi kuisha gari itawapeleka maharusi city style hotel takribani mita 500 kutoka ukumbini.
Mwenye gari ani pm then aweke na bei.