BornlessOne
Senior Member
- Oct 29, 2017
- 153
- 329
Vipi, au wewe upo occupied tayari?😀😀😀Dah
Vipi, au wewe upo occupied tayari?😀😀😀Dah
Hapana lkn sio uziwangu nilikuwa napita nikaona ni vyema nimtakie kheriVipi, au wewe upo occupied tayari?
Basi vizuri, inabidi na sisi tuanzishe uzi wetu binafsi au unasemaje?Hapana lkn sio uziwangu nilikuwa napita nikaona ni vyema nimtakie kheri
Njoo pm fasta mama nilikuwa nakusubiri wewe tuMimi ni binti wa miaka 30, muislamu, naishi Dar es Salaam, ni mwajiriwa wa sekta binafsi na ni mama wa mtoto mmoja nipo single nahitaji mwenza wa maisha ikiwa heri tuishi pamoja...
Wewe ni "Muislam" jina tu.Mimi ni binti wa miaka 30, muislamu, naishi Dar es Salaam, ni mwajiriwa wa sekta binafsi na ni mama wa mtoto mmoja nipo single nahitaji mwenza wa maisha ikiwa heri tuishi pamoja...
Moja bila mkuuVp una mtoto au ndo tunaanza bila bila
Nilitegemea kukutana na comment kama hiiBaba wa mtoto yupo? Kama bahati mbaya alifariki kaburi lipo na je CD au mkanda wa mazishi upo?
Uzi wa niniBasi vizuri, inabidi na sisi tuanzishe uzi wetu binafsi au unasemaje?
Nafikiri kila mtu na bahati yake,wapo watu wamepata wachumba humu na wamefunga nao ndoa Hadi Leo hii wanadumu,wapo wengine wapo kwenye uchumba kuelekea ndoani,sio wanawake wote wanaokuja huku wanadanga,no kuna waliopo serious,na pia wapo wanaume wapo smart sana,wana Nia kweli ya kuoa,so kila mtu na bahati yake,hatuwezi kujua Nini kimemsukuma muhusika kuja kutafuta huku,labda Mungu mwenyewe kamuongoza kuwa huku ndiko aliko mwenza wake.Nakushauri nenda kwa Shekhe ama Ustadhi madrasa ya wanawake utapata mume haraka sana. Humu hakuna ndoa utapoteza muda wako tu. Njoo pm nikuuganishe na group la kiislamu kuoa na kuolewa. Kama unakuja kudanga huku sawa ila hakuna ndoa huku.
Sasa waganga tumekosea nini hapa.Bichwa kama flampeni,
Hivi unaona kabisa ni maneno ya kuuliza humu haya? Si uende PM?
Rubbish, kichwani umebeba mende, wewe bila shaka ni mganga wa kienyeji.
Mtoa mada ana wewe kua makini, kuna mwenzako naye juzi tuu hapa alikuja kulalamika, walitongozana humu kilichompata ndio malalamiko aliyoleta.
Ncheki tuwasiliane zaidipamoja
Mbona ujaandika awe tayari kunipenda mimi na mtoto wanguMimi ni binti wa miaka 30, muislamu, naishi Dar es Salaam, ni mwajiriwa wa sekta binafsi na ni mama wa mtoto mmoja nipo single nahitaji mwenza wa maisha ikiwa heri tuishi pamoja.
Sifa za mwenzi ninayemtaka
1. Awe na umri kuanzia miaka 32 na kuendelea.
2. Dini yoyote ila akiwa muislamu itapendeza zaidi.
3. Ajitegemee kiuchumi na awe na awe na mtazamo chanya kiuchumi.
4. Awe mwenye utu na ajue thamani ya upendo na awe tayari kuingia kwenye mahusiano.
5. Nitapendelea zaidi akiwa na mwili wankawaida na kimo Cha kawaida.