Dr Rutagwerera Sr
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 5,812
- 11,501
Wandugu kama tangazo linavyosomeka. Nahitaji laini kama yupo mwenye nazo au ziada aniuzie. Nimehangaika naambiwa kwa sasa hazipo tena kwa mawakala. Mwenye nayo ani-pm au anipe namba kwa kucomment. Shukria!