Nahitaji mwanamke wa kunizalia mtoto

Nahitaji mwanamke wa kunizalia mtoto

Status
Not open for further replies.
Sio kung'ang'ania ndio ukweli halisi, sitaki.kuingia kwenye majukumu yasionihusu, majukumu ya kua karibu na mama na mtoto throughout miezi tisa ya kunibebea mtoto wangu nitayachkua, wewe kunibebea mtoto haimanishi kwamba usijishuhulishe ..au kama labda ulikua unatafuta opportunity ya kutoka kimaisha kupitia kwangu..nataka mtu real
Unataka mtu real?umzalishe umharibie maisha yake?
 
Mtoa mada hufai, yaani umtumie mwanamke kwa matakwa yako, kama utakavyo.

Eti awe mwajiriwa anajishughulisha, halafu aje tu umetundike mimba duuh very lazy mind
Mbona umekuja na panic ...halafu hii mada haiwahusu wanaume na watu wenye stress kama wewe ..
 
Habari zenu wapendwa

Naomna niende moja kwa moja kwenye point yangu kwa ufupi sana, nahitaji mwanamke ambaye atanizalia mtoto, ningependelea mwanamke huyo awe mwanamke anayejielewa(matured,)anayejitegema namanisha anafanya kazi au biashara, kifupi anayejishuhulisha, zaidi mwenye upendo.

Sitapenda ambaye ameolewa au mwenye serious relationship. Ntapendelea zaidi mwanamke ambaye hajawahi kua na mtoto au ana mtoto lakini anatamani mwingine.

Nitajitolea kwa hali na mali kumlea mtoto na kumpa malezi bora na upendo kama baba. Zingatio liwe hili kwamba utakaponizalia haimanishi kwamba tutafunga ndoa, i dont believe in marriages. Mtoto kwa badae ntabaki naye ila sio kwamba sintokuruhusu umuone, tutapanga utaratibu mzuri tu wa kuonana naye.


PM iko wazi kwa mwanamke yeyoye atakayeridhia ombi langu.
Huwajui vizuri wanawake!kitachotokea unaweza ukapewa mimba sio yako,kisha ukalea mtoto si wako,kisha mtoto unaweza usimwone ama ukawa unamuona kwa masharti ama mtoto anaweza akajazwa sumu akuchukie zaidi ya shetani
 
Sasa kama shida yako ni kuzaliwa mtoto masharti ya nini? Hata akiwa single mother wewe shida yako si ni mtoto?

Wenzako wanasemaga "nataka mtu anizalie mtoto , nitampa USD Kadhaa anizalie mtoto tuu". Haujui kuna watu hiyo ni biashara yao?

Au wewe labda useme unataka mpenzi atakayekubali kukuzalia ila hamtafunga ndoa, na awe na kazi maana wewe hauna hela
Huyu anatafuta mwanamke anayejiweza ili ampachike mimba then amtelekeze,alelewe mtoto .Mario's bana.
 
Mkuu wa aina hio siwataki kuwasikia kabisa..mwanamke mwenye njaa zake simtaki ..mwanamke asiye na upendo simtaki, mwanamke gold digger simtaki, wa aina hio ni kama.ananiuzia mtoto ..
We mbona na njaa zako unatafuta mtoto? Akupende kwa dhati ili agundue nini?
 
USD 1,000? Miezi tisa nitembee na kitambi? Hapana.
Nijengee nyumba, ninunulie gari, na unifungulie biashara maana sina kazi. Nitakuzalia mtoto na malezi ya mtoto na mama yatakuwa juu yako.
Umepata beb ,ngoj nisherehekee ubingwa kwanza
Screenshot_20190602-104737.jpeg
 
Nashukuru nazidi kuambiwa techniques za gold diggers
Huwajui vizuri wanawake!kitachotokea unaweza ukapewa mimba sio yako,kisha ukalea mtoto si wako,kisha mtoto unaweza usimwone ama ukawa unamuona kwa masharti ama mtoto anaweza akajazwa sumu akuchukie zaidi ya shetani
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom