Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,273
- 96,401
Mifano mingine inaumiza roho. Uwege na huruma mchumbaNi mfano tuu![]()
Mifano mingine inaumiza roho. Uwege na huruma mchumbaNi mfano tuu![]()
te..teh...teh... hii inalipa kama ni hivyo!Mali ikienda kwa mganga hairudi.
Kumbuka single maza wanavyopigwa vita kama vile ni ukilema.
Leo nikuzalie usinioe, nitaolewa na nani?.
Sihitaji mwanamke wa kunilea..soma habari juu utaelewa kama.una akili na una uwezo.wa kupembua mamboKwa sisi wajanja tumeshagundua unatafuta mwanamke wa kukulea...
Sasa kama utamtunza mama na mtoto, kwanini ung'ang'ane kwamba NI LAZIMA awe na kipato???Sihitaji mwanamke wa kunilea..soma habari juu utaelewa kama.una akili na una uwezo.wa kupembua mambo
Nimesema nitamtunza mama na mtoto au unaelewa nini mtu akisema matunzo ya mama na mtoto ..ila sihitaji golikipa magolikipa waende yanga huko wanahitaji golikpa
Sanaa mkuu. Kuna watu ndiyo kazi zaote..teh...teh... hii inalipa kama ni hivyo!


Sio kwamba hutomuona kabisa..ndio.mana nimesema pm iko wazi kwa maongezi ya faragha ...hapa wanaokuja kukoment wanajifurahisha tu ..kama mtu yupo serious ingekua mimi ningekufata tu inboxhii ni ngumu kama mim siwez nizae alafu mtoto abaki na baba ni mtihani
Sawa kama haujapanicWala niko biee kabisa ..nipanic nini na wakat nafurahi naenda kupata mtoto
ngoja nitafute hela nikutege nauhakika hutafika hata kwenye ujenzi wa nyumba nitaishia tu kukulipia chumba na sebuleMali ikienda kwa mganga hairudi.
Kumbuka single maza wanavyopigwa vita kama vile ni ukilema.
Leo nikuzalie usinioe, nitaolewa na nani?.
Mifano mingine inaumiza roho. Uwege na huruma mchumba
Hahaha you guys date ...hahhaha ..hii mada haiwahusu hahahMali ikienda kwa mganga hairudi.
Kumbuka single maza wanavyopigwa vita kama vile ni ukilema.
Leo nikuzalie usinioe, nitaolewa na nani?.
awapi unalipa tu kodi na ukienda unapeleka mboga kidogo halafu unashusha suruari ukiondoka unaacha twenty unaondoka kiroho safi.Sanaa mkuu. Kuna watu ndiyo kazi zao![]()
awapi unalipa tu kodi na ukienda unapeleka mboga kidogo halafu unashusha suruari ukiondoka unaacha twenty unaondoka kiroho safi.






ukifanya hivyo jiandae kubambikiwa mtoto


"You guys date" ni nini mkuu?Hahaha you guys date ...hahhaha ..hii mada haiwahusu hahah
Sio kung'ang'ania ndio ukweli halisi, sitaki.kuingia kwenye majukumu yasionihusu, majukumu ya kua karibu na mama na mtoto throughout miezi tisa ya kunibebea mtoto wangu nitayachkua, wewe kunibebea mtoto haimanishi kwamba usijishuhulishe ..au kama labda ulikua unatafuta opportunity ya kutoka kimaisha kupitia kwangu..nataka mtu realSasa kama utamtunza mama na mtoto, kwanini ung'ang'ane kwamba NI LAZIMA awe na kipato???
Mimi ni mjinga na sina akili kama ulivyosema. Nadhani utakuwa umefurahi kulijua hilo
Bila hivyo vitu automatic hata mimba hainasingoja nitafute hela nikutege nauhakika hutafika hata kwenye ujenzi wa nyumba nitaishia tu kukulipia chumba na sebule




Kila la kheri...Sio kung'ang'ania ndio ukweli halisi, sitaki.kuingia kwenye majukumu yasionihusu, majukumu ya kua karibu na mama na mtoto throughout miezi tisa ya kunibebea mtoto wangu nitayachkua, wewe kunibebea mtoto haimanishi kwamba usijishuhulishe ..au kama labda ulikua unatafuta opportunity ya kutoka kimaisha kupitia kwangu..nataka mtu real