Airmanula
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 3,524
- 5,782
Habari zenu wapendwa
Naomna niende moja kwa moja kwenye point yangu kwa ufupi sana, nahitaji mwanamke ambaye atanizalia mtoto, ningependelea mwanamke huyo awe mwanamke anayejielewa(matured,)anayejitegema namanisha anafanya kazi au biashara, kifupi anayejishuhulisha, zaidi mwenye upendo.
Sitapenda ambaye ameolewa au mwenye serious relationship. Ntapendelea zaidi mwanamke ambaye hajawahi kua na mtoto au ana mtoto lakini anatamani mwingine.
Nitajitolea kwa hali na mali kumlea mtoto na kumpa malezi bora na upendo kama baba. Zingatio liwe hili kwamba utakaponizalia haimanishi kwamba tutafunga ndoa, i dont believe in marriages. Mtoto kwa badae ntabaki naye ila sio kwamba sintokuruhusu umuone, tutapanga utaratibu mzuri tu wa kuonana naye.
PM iko wazi kwa mwanamke yeyoye atakayeridhia ombi langu.
Updates : My mission was successful.
Naomna niende moja kwa moja kwenye point yangu kwa ufupi sana, nahitaji mwanamke ambaye atanizalia mtoto, ningependelea mwanamke huyo awe mwanamke anayejielewa(matured,)anayejitegema namanisha anafanya kazi au biashara, kifupi anayejishuhulisha, zaidi mwenye upendo.
Sitapenda ambaye ameolewa au mwenye serious relationship. Ntapendelea zaidi mwanamke ambaye hajawahi kua na mtoto au ana mtoto lakini anatamani mwingine.
Nitajitolea kwa hali na mali kumlea mtoto na kumpa malezi bora na upendo kama baba. Zingatio liwe hili kwamba utakaponizalia haimanishi kwamba tutafunga ndoa, i dont believe in marriages. Mtoto kwa badae ntabaki naye ila sio kwamba sintokuruhusu umuone, tutapanga utaratibu mzuri tu wa kuonana naye.
PM iko wazi kwa mwanamke yeyoye atakayeridhia ombi langu.
Updates : My mission was successful.
