Nahitaji mume sio mchumba

Nahitaji mume sio mchumba

Siku zako za kurogwa zimekaribia, hivi umesahau ni jinsia gani wanaongoza kwa kushinda kwa vigagula??

hahahaaa!! hii nayo neno ya kuangalia! unaweza kukuta dushe imehamia kichwani!!!!

Stupid-Republicans.jpg
 
utayajuaje hayo kabla wakati yeye kasema hataki mchumba antaka mume,so stage ya kwanza mnaonana ya pili unapeleka posa no time kujua tabia

Kwa kawaida, sinunuagi mbuzi kwa mlio! Lazima nimuone, na nisipomuona hakuna biashara!
 
Bi mkubwa huyo mume anapatikana pasipo kupitia ngazi ya uchumba?

Si inabidi naye ajiridhishe namna nawe ulivyo, au mwenzetu malaika weye?

Mi mwenyewe najua kuna stage kadhaa kable hamja oana, mnaweza kuruka zote lakini sio uchumba.
 
1.Awe mkristo 2.Awe graduate 3.Awe na umri aidi ya miaka 32 4.Awe tayari kupima afya 5.Awe mfanyabiashara au mwajiriwa 5.Awe mrefu wa futi 6. 6.Awe anajitambua kuwa yeye ni nguzo ya familia na aliye na sifa hizo nipigie kwa 0715418011

Mbona sifa zako hujaweka? mimi nina mke tayar ila tunaweza ongea ukitaka ni pm.
 
Unataka mume bila "shake before use?"

Hapana, haiwezekami..........
 
1.Awe mkristo 2.Awe graduate 3.Awe na umri aidi ya miaka 32 4.Awe tayari kupima afya 5.Awe mfanyabiashara au mwajiriwa 5.Awe mrefu wa futi 6. 6.Awe anajitambua kuwa yeye ni nguzo ya familia na aliye na sifa hizo nipigie kwa 0715418011

Kuna mtu unamtega ili umfahamu,ameshtuka hutaweza kumfahamu.Ungetumia ID yako ya siku zote.
 
Duh siku hizi mume/mke anapatikana tu kama bidhaa dukani, unafika unaagizia tu hata kama umetumwa ukiwa hukijui. Hatareeee
 
Halafu viumbe hawa walivyo na roho mbaya, wanairudisha katika umbo lake la asili, kwa kuivalisha sweta, na mbaya zaidi wanaiondolea nguvu zake. Mzigo haunyanyuki hata kwa chrane ya tani 500

hahahaaa!! hii nayo neno ya kuangalia! unaweza kukuta dushe imehamia kichwani!!!!

Stupid-Republicans.jpg
 
1.Awe mkristo 2.Awe graduate 3.Awe na umri aidi ya miaka 32 4.Awe tayari kupima afya 5.Awe mfanyabiashara au mwajiriwa 5.Awe mrefu wa futi 6. 6.Awe anajitambua kuwa yeye ni nguzo ya familia na aliye na sifa hizo nipigie kwa 0715418011

nina sifa ila naogopa, isije ikawa ni mwanaume mwenzangu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom