Abel james
Senior Member
- Jun 12, 2014
- 103
- 8
duu we nouma;9166008]Hahahahaaaaaa..... Kweli bhana usije jikuta kila siku una kazi ya kukanda ngano....[/QUOTE]
1.Awe mkristo 2.Awe graduate 3.Awe na umri aidi ya miaka 32 4.Awe tayari kupima afya 5.Awe mfanyabiashara au mwajiriwa 5.Awe mrefu wa futi 6. 6.Awe anajitambua kuwa yeye ni nguzo ya familia na aliye na sifa hizo nipigie kwa 0715418011
jaman wana jf,mambo vp?nipo natafuta mchumba mwembamba wastani,rang yoyote,kabila lolote,awe na miaka chni ya 24,anaejitambua,asiwe mlevi wala malaya,mimi ni mrf wastani,mwembamba,mtanashati ,na nina sifa nyingine nyingi,atazijua atakaekuwa tayali kuwa na mimi,kwa mdada yeyote alie tayali kuwa nami anitumie namba yake kwenye reply,au areply kwa kunipa namba yake