WAKABAMBEE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 605
- 275
Bi mkubwa huyo mume anapatikana pasipo kupitia ngazi ya uchumba?
Si inabidi naye ajiridhishe namna nawe ulivyo, au mwenzetu malaika weye?
inawezekana anapima upepo tuuuuuuuu,
Bi mkubwa huyo mume anapatikana pasipo kupitia ngazi ya uchumba?
Si inabidi naye ajiridhishe namna nawe ulivyo, au mwenzetu malaika weye?
Hata wenzio walikuwa na vigezo hivyohivyo hasa no. 2,5 na 6 age ilipokuwa below 24,hawakuona ukitu,ilipofika above 30 wakapunguza vigezo mara ooh yeyote tu muhimu awe na upendo nako hawakuambulia,mwishowe wakasema hata zee tu likitokea linioe,halikutokea mwishowe wameishia nyumba ndogo,na kupigwa mimba.Utasubiri sana kwa vigezo hivyo labda umuombe Mungu tu akusaidie akupe mme anaye kufaa.
Aisee hua mnafikiria nini kutafuta wachumba mitandaonii,hua mnanishangazaa!!!tena hayaa banaa
1.Awe mkristo 2.Awe graduate 3.Awe na umri aidi ya miaka 32 4.Awe tayari kupima afya 5.Awe mfanyabiashara au mwajiriwa 5.Awe mrefu wa futi 6. 6.Awe anajitambua kuwa yeye ni nguzo ya familia na aliye na sifa hizo nipigie kwa 0715418011
Hata wenzio walikuwa na vigezo hivyohivyo hasa no. 2,5 na 6 age ilipokuwa below 24,hawakuona ukitu,ilipofika above 30 wakapunguza vigezo mara ooh yeyote tu muhimu awe na upendo nako hawakuambulia,mwishowe wakasema hata zee tu likitokea linioe,halikutokea mwishowe wameishia nyumba ndogo,na kupigwa mimba.Utasubiri sana kwa vigezo hivyo labda umuombe Mungu tu akusaidie akupe mme anaye kufaa.
Kila mtu anahitaji vigezo vyake nawe ni vipi unavihitaji viweke
sio kuonja tu.. ale mazima! akiona vimemchafua tumbo, atapike!