Nahitaji mume sio mchumba

Nahitaji mume sio mchumba

Unataka mtelemko eee! eti awe mwajiriwa au mfanyabiashara!
kwa nn msianze wote maisha ya utaftaji kama nia ni kuolewa na mume bora?
 
Sasa mbona unataka kuruka stage. Kila la heri dada mungu akubariki akupatie mume wa ndoto zako
 
Sasa ukianza kudhaminisha c ndio hatua ya uchumba iyo na mwenyewe amesema hatak uchumba anataka ndoa
 
Bi mkubwa huyo mume anapatikana pasipo kupitia ngazi ya uchumba?

Si inabidi naye ajiridhishe namna nawe ulivyo, au mwenzetu malaika weye?

Ata mimi nimeshangaa urukaji huu wa hatua. Au mtoa mada unataka ndoa ya mwaka mmoja na sio ya maisha!
 
1.Awe mkristo 2.Awe graduate 3.Awe na umri aidi ya miaka 32 4.Awe tayari kupima afya 5.Awe mfanyabiashara au mwajiriwa 5.Awe mrefu wa futi 6. 6.Awe anajitambua kuwa yeye ni nguzo ya familia

Ghafla tu awe mume khaaa Bi dada mbona una haraka hvyo jua limeshazama nini?
 
Uwiiiiiiiii haya baba paroko at work

Dunia inakwenda kwenye hatua ya hatari sana

Hii dhana ya kuwa watu wanatafuta wenza kama vile mtu anaweka order ya gari kiwandani sijui imeanzia wapi

Sijui wanadanganyana wapi kuwa maisha yapo kama vile wanavyowaza na kuambiana huko vyuoni na makazini

Haya endeleeni lakini huyu hebu amtafute mwanamke mwenye umri wa miaka 45 aliye single na amuulize kama atapata mtu anaedhani anamtaka aone jibu atakalopewa!
 
1.Awe mkristo 2.Awe graduate 3.Awe na umri aidi ya miaka 32 4.Awe tayari kupima afya 5.Awe mfanyabiashara au mwajiriwa 5.Awe mrefu wa futi 6. 6.Awe anajitambua kuwa yeye ni nguzo ya familia

Mume anatafutwa kwenye mitandao inamana hukuwa kutongozwa wew na hzo vgezo vyote we unacho hata kmoja.
 
Ghafla tu awe mume khaaa Bi dada mbona una haraka hvyo jua limeshazama nini?

unajua kwenye uchumba ndo unajua madhaifu ya mtu sasa yeye hataki hiyo kitu,maana wadada wengi wanamegwa sana kwa jina la uchumba,huenda ametendwa anaogopa..yasijirudie.
 
from nowhere mtu kaoa!

kulaleki zile gharama za mahari zoote sitoi!
 
ngoja niiquote kabla hujaifuta...!

kuna wanaume wahitaji wengi sana humu!

tupangie ratiba kabisa tukupe hela za kufungulia saluni na grocery!

Hahhahhhahhha atapigiwa mpaka akomeeee
 
heeee! katika pitapita zako zoote hujakutana na mtu mwenye hizo sifa hadi umtafute jf?

haya kila laheri bibie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom