kiwatengu
Platinum Member
- Apr 6, 2012
- 19,489
- 18,379
Mimi sio mmachamiWamachame mmeitana 😂
Mimi sio mmachamiWamachame mmeitana 😂
Nimepita December, niliona ile road ya Bwani na Kalali imeunganishwa kwa lamiTumeamua kuweka zege wenyewe, umepita lini mara ya mwisho hii barabara ya kikafu?
Sijapanda Nronga siku nyingi kidogo, ila kuna washkaji zangu sana.Wamachame mmeitana 😂
Hata mimi nimeshangaa sana..hii ni AI hakuna kimachame cha hivi mbe!
mwambie AI aache upotoshajiSafi mkuu 😄 Tujifunze Kimachame kidogo kidogo
Nimekupangia sentensi 5 za kila siku - ukizijua hizi, umeshahesabika kama umeanza kuongea:
### 1. Salamu za Kawaida
Undu swi? = Hujambo? / Upoje?
Ndiru isheri = Nzuri sana / Niko salama
Ngema muno = Asante sana
### 2. Kujitambulisha
Irikwa Juma = Naitwa Juma
Mie ndu Machame = Mimi ni wa Machame
Ulya ka? = Unatoka wapi?
### 3. Maneno ya Heshima
Tata / Nyaa = Baba / Mama
Shikamoo, Tata = Shikamoo, Baba
Marahaba, mwanangu = Marahaba, mwanangu
### 4. Kuomba kitu
Mpa maha = Nipe maji
Nguena kyaakulya = Nataka chakula
Sikuelewa = Simanyire
Mchezo mdogo: Jaribu kusema "Asante sana mkuu" kwa Kimachame. Jibu ni "Ngema muno, mkuu wangu"
Ndio. Hiyo imeunganishwa muda mrefu , sasa hivi unaweza kwenda boma au arusha kupitia kalali, uswaa ukapita masama ukatokea kwa sadala... siyo lazima upite njiapanda ya barabara ya machameNimepita December, niliona ile road ya Bwani na Kalali imeunganishwa kwa lami
jau sana mzeeHata mimi nimeshangaa sana..
hajui wenyewe ni wamashami anatuandikia ujinga hata eka mbe hajuiNilitaka kushangaa nikaona nivunge tu meku
Wee ila ya Uswaa imepigwa lami?Ndio. Hiyo imeunganishwa muda mrefu , sasa hivi unaweza kwenda boma au arusha kupitia kalali, uswaa ukapita masama ukatokea kwa sadala... siyo lazima upite njiapanda ya barabara ya machame