Kevzy
JF-Expert Member
- May 23, 2026
- 969
- 1,696
Jux relaxNo offense mkuu, its just mindset kama ulivosema, take it easy. Life lina milion choices and you do what pleases you, but if you share other people put their opinion pia...
Jux relaxNo offense mkuu, its just mindset kama ulivosema, take it easy. Life lina milion choices and you do what pleases you, but if you share other people put their opinion pia...
h hutaki tupate hela bwasheeKimachame utachemka bwashee 😀
Hahaha ya mbege sawa bwasheehahahahaha
h hutaki tupate hela bwashee
Wamachame wamejazana kwenye huu uzi alaf ni wakali.. hatariHabari wakuu.
Nahitaji mtu wa kunifunza lugha ya machame ada na utaratibu mzima tutaelezana private.
Nashukuru.
hata hio Ai imechemka kwa kiasi kikubwahii ni AI hakuna kimachame cha hivi mbe!
Nilitaka kushangaa nikaona nivunge tu mekuhii ni AI hakuna kimachame cha hivi mbe!
Kyeni kuwaloshe mbe...Hakuna kimachame hapo, hicho labda ki kinga, au kingoreme,
Kwiifo inda? Upoje/una hali gani?
Shikee nisha=nipo salama
Eeka ma/mbe = asante kwa mwanamke (ma) kwa mwanamume (mbe)
Shiwaango Juma= naitwa Juma
En nyi mmashami= mimi ni mmachame
Koukya kwi= umetokea wapi?
Nb= kwenye kimachame hakuna salamu ya shikamoo na marahaba
Wote mnasalimiana kulingana na nyakati,
Mfano asubuhi ni neeanto ma/mbe
Mchana ni Neesindiso ma/mbe
Hiyo ni kwa wote wakubwa kwa wadogo, ntarudi
AI imekuingiza chaka vibaya mnooo### Maneno machache ya Kimachame vs Kiswahili:
| Kiswahili | Kimachame |
| Hujambo? | Undu swi? / Olo shiri? |
| Nzuri | Isheri / Isheri sana |
| Asante | Ngema / Ngema muno |
| Naitwa... | Irikwa... |
| Twende | Tuya / Iya |
| Chakula | Kyaakulya |
| Maji | Maha / Mbaa |
| Baba | Tata |
| Mama | Nyaa / Mama |
| Nyumba | Nyuma |
Mfano wa sentensi:
Kiswahili: "Mama, chakula kiko tayari"
Kimachame: "Nyaa, kyaakulya kiko mbeku"
Ukweli wa Kimachame: Ni lugha ya Bantu yenye "click" kidogo na misisitizo tofauti. Watu wa Machame wanasemekana ni "wachapakazi na wasioogopa" - ndio maana kuna msemo "Mshamba wa Machame".
Wewe ni Mmachame mkuu? Au unataka kujifunza kuongea ili uwasalimie ndugu zako? 😄
Nikufundishe sentensi gani kwa Kimachame sasa hivi?
MkuuKyeni kuwaloshe mbe...
Naam , kwemaMkuu
Shwari kabisa, naona mnaongea kimachameNaam , kwema
Cha kike bwasheeAI imekuingiza chaka vibaya mnooo
Ndio ndio, cha nyumbani hichoShwari kabisa, naona mnaongea kimachame
Sawa kabisa, upande wa Masama au Huku Nshara?Ndio ndio, cha nyumbani hicho
NrongaSawa kabisa, upande wa Masama au Huku Nshara?
Machame kubwa!
Nimesoma hiko kimachami nikaona kabisa huyu mdau katumia chatgtpCha kike bwashee
Ahaaa…waliwanyima kuweka lami yenu kule.Nronga
Itakua ni wale wachaga wa mjini bwashee 😄Nimesoma hiko kimachami nikaona kabisa huyu mdau katumia chatgtp
Tumeamua kuweka zege wenyewe, umepita lini mara ya mwisho hii barabara ya kikafu?Ahaaa…waliwanyima kuweka lami yenu kule.
Wamachame mmeitana 😂AI imekuingiza chaka vibaya mnooo