nanga kanali
Member
- Jul 1, 2020
- 7
- 3
Na ata mkeo nae asichepuke....lakin anayo mengneDah inamaana nisitoke nje ya ndoa maisha yangu Yote?
Na ata mkeo nae asichepuke....lakin anayo mengneDah inamaana nisitoke nje ya ndoa maisha yangu Yote?
Yuko wapi huyo jamaa nimfate kesho asubuhi,maana nna matatizo kibaokuna jamaa yangu ana hela ya ndagu nae anakaa kwenye bonge la golofa ila anapikia kuni kwake alafu anakaa na mambuzi humo ndani ila jamaa ana hela balaa ukimuomba hata milioni 100 anakupa tu
Ni nani huyoYuko Dar kachukua leo form ya kugombea ubunge. Muwahi kabla hajaanza kuwa busy