Nahitaji mtaalamu/Mganga wa jadi

kuna jamaa yangu ana hela ya ndagu nae anakaa kwenye bonge la golofa ila anapikia kuni kwake alafu anakaa na mambuzi humo ndani ila jamaa ana hela balaa ukimuomba hata milioni 100 anakupa tu
Yuko wapi huyo jamaa nimfate kesho asubuhi,maana nna matatizo kibao
 
Back
Top Bottom