alex001
Member
- Nov 23, 2022
- 20
- 10
Mimi nimemaliza kidato cha Sita mwaka huu na nlichaguliwa chuo kikuu cha St. Francis morogoro course ya MD Lakin sijabahatika kupata mkopo wa Ada maana nilipewa boom peke yake Sasa kutokana na Ada ya chuo hiki kuwa juu sana hadi Sasa hivi bado sijaripoti chuoni na sijasajiljwa.
Je, nifanye nini ili kufuta admission ili niwe mwanfunzi huru na niweze kuapply chuo kingine tena tofauti na hiki mwakani na Je vipi kuhusu mkopo nitapata kwa mara nyingne tena mwakani?
Naombeni msaada wa maelezo
Je, nifanye nini ili kufuta admission ili niwe mwanfunzi huru na niweze kuapply chuo kingine tena tofauti na hiki mwakani na Je vipi kuhusu mkopo nitapata kwa mara nyingne tena mwakani?
Naombeni msaada wa maelezo