Ushimen
Platinum Member
- Oct 24, 2012
- 44,105
- 110,832
Basi sawa mkuuhaha umeongea kama ki uta vile ndo maana kawaza hivyo
Basi sawa mkuuhaha umeongea kama ki uta vile ndo maana kawaza hivyo
upate mshahara 4m...watoto wapo st nini sjui...na bado umepanga[emoji848][emoji848][emoji848]....hivi watu wa hivi wapo eeh?kaka si wewe tu, baadhi ya makampuni ya Madini na NGO's zimenyimwa leseni za kuoperate hapa nchini zimefunga, watu wanahaha kutafuta kazi nyingine, tatizo sasa ukiwa abave 40 ni sheshe mno kupata kazi - Umri.
Pia mishahara ya Makampuni ya Madini na NGO's huwa ni mikubwa, sasa interviewer unamwambia nilikuwa nakula 4.2m kwa mwezi; Jamaa wanabakia mdomo wazi - kuna kazi hapo.
ni hali tete sana, ila komaa mwanangu.. ila kama una familia na watoto wanasoma hizi shule zetu za acaemia na bado umepanga hapo ndipo huwa patamu kidogo...pole mkuu.
[emoji1]Hili Swali sikia tu ameulizwa mwenzio!
Swali gumu sana
kweli bora akakae na mamakeMama yako ni mzee lakini wewe ni mtoto wake nenda kwenu ukapambane huko. Usilazimishe kukaa kwa ndugu kwa kigezo cha maisha magumi kwenu maana naye ana magumu yake pengine kuliko yenu.
Hujasema kazi unayotaka minimum salary iwe ngapi?
lakini bora akakae na mama yake....mana anasema kwa ndugu ananyanyasika sjui...bora kwa mama...mama mtamu jamani na baraka zake...bora ukazisake upo kwa mama ako na amani teleMkuu mm sio mtoa mada ila sijapendezwa na comment yako, unamshauri arudi kwao at the same time unamuulizia kiwango cha salary, mbona unajichanganya!? akikutajia utamuajiri?
madam umesema kweli...bora kwa mama kuna amani...sasa huyo nduguye anavomnyanyasa na hali yake ni stress juu ya stress mwisho kujiua bureHii haihitaji huruma mkuu alipo mama yake aende akibangaiza akipata wale wote akikosa alale kwa amani akiwaza kesho nakutafuta kazi. Manyanyaso mengine kujitakia tu. Kuna watu wana wazazi wawili, sio wazee ila wana hali ngumu na shule hawajaenda.
Nimeamua nijiajiri tu mkuu![emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] najua sana ndo maana nilikuchokoza tu,vipi kwa sasa unapanga foleni atm au bado upo na bahasha ya kaki
ukipata zaidi ya moja unishtueKupitia comments zenu na baadhi ya PM naona mwanga na pia mnanipa moyo, naahidi kuleta mrejesho kwa chochote nitakachopata kupitia jukwaa hili. Maisha yana changamoto nyingi, kuna kupata leo na kukosa kesho.
Asanteni pia kwa maombi yenu