Nahitaji msaada wenu hali yangu ni mbaya

Nahitaji msaada wenu hali yangu ni mbaya

Vijana wengi wanapoajiriwa hawajiongezi kufungua vitegauchumi vya kuongeza kipato, hawaweki akiba ya kuwakomboa kujiajiri siku kibarua kikiota nyasi.

Wengine wakipata ajira ni bata batani mpaka manyoya wanakula....

Sasa huyu ili apate msaada wa ushauri ni vyema atuambie ana nini ili tumpe mwangaza. Achilia mbali vitu vilivyoibiwa.....
Ni kweli mkuu
 
Kwenye IT unajua programming na unajua language ip? Kazi ipo mkuu
Language ya programming! Kama lugha za binadamu amesema kiswahili, kiingereza na kifaransa, kwa hali hii sidhani kama unamsaada wowote.
 
Changamoto ni nyingi na nyingine nashindwa hata kuziandika hapa kwani ni uchungu. IT nimebase zaidi kwenye IT SUPPORT,NETWORK, SYSTEM ADMIN,SALES/PRESALES. kwenye Programming nina knowledge ya web design na language zake kama html,php and javascript.
 
Mama yako ni mzee lakini wewe ni mtoto wake nenda kwenu ukapambane huko. Usilazimishe kukaa kwa ndugu kwa kigezo cha maisha magumi kwenu maana naye ana magumu yake pengine kuliko yenu.

Hujasema kazi unayotaka minimum salary iwe ngapi?
 
Mwanamke mwenye kisomo kukosa kazi ni ngumu sana. Kama una uzuri wa sura huwezi kosa hata kazi ya ureshepnist... Mambo yakiwa magumu kabisa, jioze!
 
Vijana wengi wanapoajiriwa hawajiongezi kufungua vitegauchumi vya kuongeza kipato, hawaweki akiba ya kuwakomboa kujiajiri siku kibarua kikiota nyasi.

Wengine wakipata ajira ni bata batani mpaka manyoya wanakula....

Sasa huyu ili apate msaada wa ushauri ni vyema atuambie ana nini ili tumpe mwangaza. Achilia mbali vitu vilivyoibiwa.....

absolute kweli
 
Mama yako ni mzee lakini wewe ni mtoto wake nenda kwenu ukapambane huko. Usilazimishe kukaa kwa ndugu kwa kigezo cha maisha magumi kwenu maana naye ana magumu yake pengine kuliko yenu.

Hujasema kazi unayotaka minimum salary iwe ngapi?
Mkuu mm sio mtoa mada ila sijapendezwa na comment yako, unamshauri arudi kwao at the same time unamuulizia kiwango cha salary, mbona unajichanganya!? akikutajia utamuajiri?
 
Wewe ndo unajichanganya. Yeye mwenyewe ana pande mbili 1. Kujibanza kwa watu 2. Anatafuta kazi.
Hayo maneno yako ya mwisho jibu ni ndio kama hahitaji mshahara zaidi ya laki 2.
Comment yangu huwezi kuipenda maana sijafumbafumba ukweli.
Sawa Mkuu, comment yako ataisoma na naamini ataichangamkia hii offer ya chini ya laki mbili kama itampendeza..lkn pia utamaduni wa kupeana faraja ktk magumu ni jadi yetu watanzania.
 
Madam Mwajuma,unaongea hivyo kwasababu unashindwa kuimagine vizuri situation ninayopitia. Sidhani kama ni sahihi kwenda kumuongezea mzigo mama ni kheri niendelee kupambana hukuhuku, naamini kabisa wapo watakaoweza kunisaidia humu ndani
 
Back
Top Bottom