Jini Kisiranii
JF-Expert Member
- Feb 20, 2018
- 2,021
- 2,455
Pole sanaASANTE SANA
We acha tu ugumu wake anaujua alieulizwa bt gumu sanaHili Swali sikia tu ameulizwa mwenzio!
Swali gumu sana
VP apambane ebu fafanua maana ikusma tu pambana ni neno la jumla tukuombe utoe mfano we VP atakavyopambana?Binafsi naona unachangamoto ndogo sana na sio matatizo.
Unaweza kukutana na mtu hana hata cha kuanzia na ukisema umsaidie unashindwa uanzie wapi? ila wewe una Skills na angalau Degree ya kuweza kujipigania.
Hauko peke yako mkuu usife moyo , kikubwa Pambana unavyoweza (hata vibarua vya kujenga)
Mwenye nia njema hakati tamaa.