Nahitaji Msaada wa Ushauri kwenye uhusiano wangu

Nahitaji Msaada wa Ushauri kwenye uhusiano wangu

Darling [emoji178], my heart goes out to you. I can't imagine what you're going through. Please know that I'm here for you if you want to talk. You deserve all the happiness in the world, and I hate to see you hurting.

Please visit your PM as soon as possible

[emoji28][emoji28]okayy[emoji3590]
 
[emoji3064]huwa mnawaza kwamba huwa tunaumia mkifanya ivo na kuondoka.. ?
kingine naona kama kuna baraka nazuia nikendelea nae..
kwako wewe kuendelea nae ni kijichelewesha mwenyewe kupata baraka zako....

ifike mahala ujitegemee katika kuamua mustakabali wako, unless umekwama hapo licha ya ishara zote za kwamba wewe si muhumu au wala sio chaguo lake la kwanza. Labda huenda hayupo wa kukukwamua right?...

rejea kauli yake, ya kwamba hata ukiolewa hatakuacha, then huyo anae wa muhumu zadi yako...

kung"ang"ana apo ni kujiumiza mwenyewe...

Roho Mtakatifu akujaalie unyenyekevu na utulivu, alainishe moyo wako ili hatimae iwe rahisi kwako kuskia sauti ya wito wa Mungu katika maisha yako ya kila siku ikiwa ni pamoja na mapenzi ya kweli, ya dhati na ndoa...
 
Hello JF Family..
Need a HELP

I’ve been in a relationship with a man ambaye hatukujuana vizuri ( I regret it🥹) we date for one year, at that time wakat tunaanza dating nilikuwa single for 2 years..
Mwanzo nljua tunaweza achana muda wowote kwasababu simjui Freshii maybe ana girlfriend wake huko… siku zinavyoenda penzi likakolea nazi 25..
To be honest nlivyokuwa kwenye hayo mahusiano nlkua sio mtu wa kumsumbua hata kidogo, nlkua namuacha kama akipata muda atanichek asiponichek sina noma pia.. ( I was busy minding my own business)and I never cheated

Baada ya muda mawasiliano yakapungua kabisa.. pia alkua ananikwepa nisiende kwake..
Actually mm nina INTUITION, nilihisi kitu na kweli baadae he confessed kwamba he was going through alot the reason is because mama kamchagulia mtu wa kumuoa( ila wanaume nyie ni mbwa[emoji81][emoji81][emoji81] mtafutage sababu zenye mashiko)
Until now I know he’s lying for everything[emoji3064][emoji3064][emoji3064] but he doesn’t know kama najua.. ( kipenda roho[emoji38][emoji119])

And I decided to cut him off But akinichek
nashindwa mu ignore kabisa[emoji22] Nimelia sana saana..
Nowadays nakuwa na hasira sana[emoji3064][emoji3064][emoji3064]
Yani nikiskia mtoto wa mtu ananiambia ananipenda Natamani nimtukane[emoji1787]


Lastly he said even if I get married to another man / when he get married hatoniacha( hii ndo inanipa utata) MENS NAOMBA MNIJIBU

NB: I’m 25[emoji16]
Move on girl hauna mtu hapo atakupotezea muda wako na chance za kupata mtu sahihi
 
Back
Top Bottom