Nahitaji Msaada wa Ushauri kwenye uhusiano wangu

Nahitaji Msaada wa Ushauri kwenye uhusiano wangu

Hello JF Family..
Need a HELP

I’ve been in a relationship with a man ambaye hatukujuana vizuri ( I regret it🥹) we date for one year, at that time wakat tunaanza dating nilikuwa single for 2 years..
Mwanzo nljua tunaweza achana muda wowote kwasababu simjui Freshii maybe ana girlfriend wake huko… siku zinavyoenda penzi likakolea nazi 25..
To be honest nlivyokuwa kwenye hayo mahusiano nlkua sio mtu wa kumsumbua hata kidogo, nlkua namuacha kama akipata muda atanichek asiponichek sina noma pia.. ( I was busy minding my own business)and I never cheated

Baada ya muda mawasiliano yakapungua kabisa.. pia alkua ananikwepa nisiende kwake..
Actually mm nina INTUITION, nilihisi kitu na kweli baadae he confessed kwamba he was going through alot the reason is because mama kamchagulia mtu wa kumuoa( ila wanaume nyie ni mbwa mtafutage sababu zenye mashiko)
Until now I know he’s lying for everything but he doesn’t know kama najua.. ( kipenda roho)

And I decided to cut him off But akinichek
nashindwa mu ignore kabisa Nimelia sana saana..
Nowadays nakuwa na hasira sana
Yani nikiskia mtoto wa mtu ananiambia ananipenda Natamani nimtukane


Lastly he said even if I get married to another man / when he get married hatoniacha( hii ndo inanipa utata) MENS NAOMBA MNIJIBU

NB: I’m 25
Sasa unataka tukujibu kitu gan we mdada?

Umeshasema kwamba kwenye mahusiano yenu ulikuwa humsumbui kabisa, akikupigia simu we unaona poa na asipokupigia simu pia unaona poa

Unakuwa busy na mambo yako,

Sasa umetuambia kashakuchana kwamba ametafutiwa mke ila unajua kwamba kakudanganya

Sasa unashindwa nini kujiongeza.

Na kakwambia kabisa ukimpata mtu wa kukuoa uolewe sasa unataka ushaur gani hapo?

Au kwakuwa kakwambia hata ukiolewa hakuachi ndio unachanganyikiwa?

Sasa we olewa halafu m cheat uyo mwanaume aliyekuoa uendelee kugegedwa na uyo x wako

Unaona kabisa kwamba unachezeleka halafu bado unakuja kutuuliza hard shit hizo

Yeye hakuoi ila anataka akugegede kila anapokuwa na shida na ww

Hata ukiolewa aendelee kukutomb... tu sasa we amua mwenyewe uendelee kumcheat jamaa atakayekuwa amekuoa kwa sababu ya uyo boya wako au veep

Umeandika kingereza mwenyewe tunakuona msomi matokeo yake unatuuliza maswali hayana hata msingi

Jibu sasa ni hili, hata ukiolewa endelea kumpa tu na uyo x wako aendelee kukugegenda

Ukiachika rudi umu jukwaan waoaji wengine tupo
 
The problem is you can't be alone. You don't love yourself much that's why you allow him to use you ( may be you are using him. As you said he is shuting you down and yet you are still clinging to him as a leach)

25 is good age. When you reach 28 you wouldn't have the luxury to date casually. Wasting time with a relationship that isn't going anywhere is the same as denying yourself the chance to meet the right person for you.

Best of luck.

 
Baada ya muda mawasiliano yakapungua kabisa.. pia alkua ananikwepa nisiende kwake..
Actually mm nina INTUITION, nilihisi kitu na kweli baadae he confessed kwamba he was going through alot the reason is because mama kamchagulia mtu wa kumuoa( ila wanaume nyie ni mbwa
emoji81.png
emoji81.png
emoji81.png
mtafutage sababu zenye mashiko)
Until now I know he’s lying for everything
emoji3064.png
emoji3064.png
emoji3064.png
but he doesn’t know kama najua.. ( kipenda roho
emoji38.png
emoji119.png
)
Ukidate na Mbwa basi wewe ni Mbwa Jike.

Hao wanaume mnawazoa wapi?

Hata kama ni uongo Mwanaume anayejielewa haweza kuthubutu hilo neno kwamba Mama kanichagulia wa kuoa.

Umepigwa kwa kukurupulia hawa ma Handsome wanakula na kulala kwa mama zao.

Hata ukute anafanya biashara hukuta ni ya Mama yake au Baba yake yeye hana mcjango wowote.

Sasa nyie mkiwaona mnawakimbilia.

Pole Mdogo wangu amekupotezea muda.
 
Ukidate na Mbwa basi wewe ni Mbwa Jike.

Hao wanaume mnawazoa wapi?

Hata kama ni uongo Mwanaume anayejielewa haweza kuthubutu hilo neno kwamba Mama kanichagulia wa kuoa.

Umepigwa kwa kukurupulia hawa ma Handsome wanakula na kulala kwa mama zao.

Hata ukute anafanya biashara hukuta ni ya Mama yake au Baba yake yeye hana mcjango wowote.

Sasa nyie mkiwaona mnawakimbilia.

Pole Mdogo wangu amekupotezea muda.

Sio mtoto wa mama bwana
 
Pole sana,sometimes you need to stay out of love to be happy,Jipende sana jipe muda qa kupumzika kujaribu vitu vipya,Usiwe idle,Ukimaliza kazi ger your game or mazoezi maisha yatasonga tu rafiki.huenda angekuumiza kwenye hatua ngumu na kubwa zaidi ya hiyo.Kuwa mtu wa kushukuru .
 
The problem is you can't be alone. You don't love yourself much that's why you allow him to use you ( may be you are using him. As you said he is shuting you down and yet you are still clinging to him as a leach)

25 is good age. When you reach 28 you wouldn't have the luxury to date casually. Wasting time with a relationship that isn't going anywhere is the same as denying yourself the chance to meet the right person for you.

Best of luck.
Vingereza vingi......in reality its not True.....unakimwaga kama vile unayaweza.

Mkuu hayana Mwongozo
 
Sasa unataka tukujibu kitu gan we mdada?

Umeshasema kwamba kwenye mahusiano yenu ulikuwa humsumbui kabisa, akikupigia simu we unaona poa na asipokupigia simu pia unaona poa

Unakuwa busy na mambo yako,

Sasa umetuambia kashakuchana kwamba ametafutiwa mke ila unajua kwamba kakudanganya

Sasa unashindwa nini kujiongeza.

Na kakwambia kabisa ukimpata mtu wa kukuoa uolewe sasa unataka ushaur gani hapo?

Au kwakuwa kakwambia hata ukiolewa hakuachi ndio unachanganyikiwa?

Sasa we olewa halafu m cheat uyo mwanaume aliyekuoa uendelee kugegedwa na uyo x wako

Unaona kabisa kwamba unachezeleka halafu bado unakuja kutuuliza hard shit hizo

Yeye hakuoi ila anataka akugegede kila anapokuwa na shida na ww

Hata ukiolewa aendelee kukutomb... tu sasa we amua mwenyewe uendelee kumcheat jamaa atakayekuwa amekuoa kwa sababu ya uyo boya wako au veep

Umeandika kingereza mwenyewe tunakuona msomi matokeo yake unatuuliza maswali hayana hata msingi

Jibu sasa ni hili, hata ukiolewa endelea kumpa tu na uyo x wako aendelee kukugegenda

Ukiachika rudi umu jukwaan waoaji wengine tupo

Ndo unanifokea ivo?
 
Back
Top Bottom