Nahitaji msaada wa kifedha, nimekwama

Nahitaji msaada wa kifedha, nimekwama

hujui maisha niliyopitia mkuu siwezi kumkebehi mtu na shida zake
wewe msome vizuri huyu kijana anataka tu mkopo na mimi siwezi kumgeuzia malengo yako na ujue hakuna kazi mbaya kama kumdhamini mtu mahali akiharibu wewe ndo umeharibu
Ni sawa kabisa mkuu. Hata mimi nimemwi-encourage aelekeze nguvu zake kwenye kutafuta mkopo au mfadhili. Hilo ndilo lengo lake alilojiwekea na ndio kazi anayodhani ina future nzuri kwake.
 
Unaonekana ni mwandishi mzuri sana wa riwaya. Ungeonana na global publishers, unaweza ukatoka.
 
Unataka uanze juu mno.
Ulivyojieleza naona mtaji mkubwa tuu.
Kama uko serious anza na juice ya miwa. Haihitaji freezer wala vikorokoro ulivyovitaja.
Usiangalie mbali.
Au biashara ya vitafunwa kwenye sehemu za kazi au kusambaza mahotelini au maduka !
Umeshatoka !! Chukua hatua !!
Huyu jamaa alitakiwa kwanza aanze na kuuza maji halafu ndio afanye hio juice. Usawa huu mtu hakujui mwanzo mwisho halafu amkopeshe 600,000? Wakati humu humu kuna watu wanakuja na uzi unasema hawajawahi kumiliki 1 million maishani mwao.
 
Miss Natafuta uliahidi kumsaidia kijana umefikia wapi naye tafadhali..
Naanza kuingiwa NA wasiwasi NA Miss Natafuta maana kuna wadau wengine hapo wamemuomba awaunganishe kwenye hiyo kaz ila sijaona feedback yyte akiwapatia naona kakomaa NA mleta mada tu kwamba hamwamini tena......Miss Natafuta popote ulipo naomba ujitetee la sivyo utakuwa umejishushia hadhi
 
Naanza kuingiwa NA wasiwasi NA Miss Natafuta maana kuna wadau wengine hapo wamemuomba awaunganishe kwenye hiyo kaz ila sijaona feedback yyte akiwapatia naona kakomaa NA mleta mada tu kwamba hamwamini tena......Miss Natafuta popote ulipo naomba ujitetee la sivyo utakuwa umejishushia hadhi
Kabisa, mimi naona kama vile kamgeuka mleta uzi! anasema hamwamini tena
 
Kabisa, mimi naona kama vile kamgeuka mleta uzi! anasema hamwamini tena
Hilo la kutomwamin mtoa mada simlaumu maana kuna post #35 hapo juu mtoa mada ameshindwa kuitolea ufafanuz anawapeleka watu Pm kuwaelezea badala ajibu hapa hapa hadharan .....Waswas wangu kwa Miss Natafuta ni hilo la kuwapotezea hao waliomuomba kuunganishwa kwenye kaz hiyo hiyo aliyomuahidi mtoa mada. .
 
Hilo la kutomwamin mtoa mada simlaumu maana kuna post #35 hapo juu mtoa mada ameshindwa kuitolea ufafanuz anawapeleka watu Pm kuwaelezea badala ajibu hapa hapa hadharan .....Waswas wangu kwa Miss Natafuta ni hilo la kuwapotezea hao waliomuomba kuunganishwa kwenye kaz hiyo hiyo aliyomuahidi mtoa mada. .
Mimi nilipapata wasiwasi na Miss Natafuta toka jana..,, kind of mambo ya kiki..
 
siyo vizuri kum discourage mtu, kama kutapeliwa tumeshatapeliwa wengi na tumeshafanikisha mengi, kuna hatua za kuweza kumjua mtu kama kweli una lengo la kumsaidia, omba yasikukute wewe.
asante brother kwa kuliona hilo! ila kitu kimoja wanasema one of feature of being an interpreneur is ability to endure a lot of pain for a long period of time
 
Mimi nilipapata wasiwasi na Miss Natafuta toka jana..,, kind of mambo ya kiki..
mkuu hata sielewi wapi naonekana mi muongo, kila kitu nimeelezea vizuri na nimemPM vizuri tu but still ananiona mimi muongo but anyway things will be okey
 
Hilo la kutomwamin mtoa mada simlaumu maana kuna post #35 hapo juu mtoa mada ameshindwa kuitolea ufafanuz anawapeleka watu Pm kuwaelezea badala ajibu hapa hapa hadharan .....Waswas wangu kwa Miss Natafuta ni hilo la kuwapotezea hao waliomuomba kuunganishwa kwenye kaz hiyo hiyo aliyomuahidi mtoa mada. .
mkuu PM hamna kitu cha ajabu zaidi ya namba tu ya simu labda na yule aliyeniuliza kama nasema uongo kuhusu kwamba sijamaliza chuo! nimemueleza vizuri PM na nikamwambia kuwa ni kweli sijamaliza chuo sababu ya kifedha so mimi kusema sina cheti ni kwamba nimeona tu nisiseme vile maana nilishaleta thread hapa lakin bado sijasaidiwa! kwa hiyo PM hamna kitu cha ajabu!
pia kama sina cheti au hata kama nimeishia katikati bado sote tunakuwa hatuna cha kututambulisha tunakuwa tunaonekana hatuma proffession! hayo tu Mkuu ila najisikia vibaya mtu anaposema kuwa mi tapeli
 
Jibu tutapata kwa mtoa mada hapo ndio nitakapomwongelea miss
mkuu nimejirleza vizuri n na namba nikatoa ila still naonekana mi tapeli! ila tuachane na hayo nafikiri hii no challenge mojawapo hata kwa mkulima anapata challenge zake! so ni kwakuwa tuko field tofauti ila one day yes
 
Mimi nilipapata wasiwasi na Miss Natafuta toka jana..,, kind of mambo ya kiki..


Kuna uzi fulani humu, nakumbuka miss natafuta alisema kwamba yeye katika maisha yake alipitia hali ngumu mno, alipitia msoto mkali sanaaa pasipo kupata msaada wa yeyote yule. Alikuwa akiomba sana support lakini hapewi. Alidai kuwa kahangaika sana kutafuta maisha, nadhani hata hilo jina lake linatoa 'reflection' fulani.

Kutokana na machungu aliyopitia mpaka kufikia hapo alipo leo, akasema kwamba hatakuja kusaidia mtu yeyote. So yawezekana kabisa Miss Natafuta alikuwa anamzengua tu mleta mada.

-Kaveli-
 
"Your silence will not protect you" ni bora mtu kuweka shida yako wazi ili watu wa sure wale, wawe tayari kukusaidia, kuliko kukaa kimya ndg yangu, na kupongeza wa ni mtu jasiri sana na utafanikiwa kuliko kukaa kimya maana kimya yako haita kusaidia ndg yangu, nothing come from nothing, mwlm wangu alikuwa anapenda kutumia haka Kaneno, yaana, ungetulia ingekuwa hivyo no one who will know your need, but kwa sababu umeongea basi utasaidiwa watanzania tunaomba tujenge utamaduni wa kuhurumia maana mtu mwenye huruma ni mwelewa, tabia ya upendo,na kuumia juu ya hitaji lako, hayo ndo Maisha yetu ya watanzania Leo kusaidiana na kutoana hii ndo sifa yetu, sisi ni wakarimu tangia zamani, mm niliwahi kwenda kenya mwaka 2012 nilifika ni kaenda kwa mgahawa mmoja, nilifika watu Wale ni wachoyo sana, kila mtu alikuwa anakula amekumbatia sahani yake lakini mm nilingia ni kununua chakula nikaanza kula na kupiga story na uzuri mzee mmoja alikuwa pembeni akaanza kupiga story na I asked an elder why watu wengi wa hapa siyo wakarimu akasema, hawapendani, hivyo akasema wakenya wengi hawapendani na ndiyo maana we receives small numbers of tourists par year, sababu ya tabia hii, kwa hiyo jamani tudumishe utamaduni wetu wa kusaidiana ss kwa ss maana nikimnukuu mother teresa alitamka maneno haya "I see jesus in every human being, i say to myself, this is hungry jesus, i must feed him, this is sick jesus, this one has leprosy or gangrene i must wash him, and tend to him I serve because i love jesus "haya ndiyo mambo yaliyo pelekea mother teresa akaanzisha makampuni ya kusaidia, hivyo jamani mtu anapo patwa na shida hebu jaribu kuguswa, ndg yangu toa msaada hata wa fikira ni msaada mkubwa kuliko, hata fedha zako unazo zificha bank acha jokes in the serious issues, wenzetu weupe wanatuzidi kutoa msaada, ndiyo maana wana mitaji ya fikira ubunifu na wamebarikiwa sana, tumsaidie huyu tutabarikiwa, about matapeli hawa, ni wajinga tusitumie kigezo hiki kunyima watu misaada hu ni uchoyo matapeli c kama huyu mwamini tu ingia tu PM, muite aje umsaidie, siku moja jamaa, alimsaidia Dada mmoja nauli baada ya kuwa Dada huyo anarudi likizo kutoka SAUt Augustine university, Mara baada ya ya Dada huyo kuibiwa fedha nyagezi stand, basi Kaka huyo alikuwa anakuja dar Es Salaam, bac katika safari hiyo , kk akasema na enda interview huko dar, Dada akamuliza una mtu wa kukupigia debe akasema hapana, Dada akasema, naomba uchukue namba yangu, nitakuunganisha na mtu Fulani ambaye atawafanyia interview hii huyu atakuvusha ndg yangu maana umenisaidia basi jamani kwa kweli jamaa hakuamini mpaka sasa ni manager wa bank ya maana hapa dar es Salaam, sasa ndg Zangu penda kusaidiana, maana kusaidiana kunalipa, kijana huyu waweza kusaidia baadaye akaja kuwa mtu wa muhimu kwako, "a new commandment, i give to you, that you love one another, just as I have loved you, also to love one another. By this all people will know that you are my disciple, if you have love for one another" look John 13:34 - 35, I beg you please try kusaidia watu kama hawa, toa msaada, na ww utaongezewa ndg yangu pia jamani jaribu, think positive before you make a comment, kwa sababu comments za wengine zina miitazamo negative na bored "look deep into nature and then you will understand everything better "by Albert Einstein hii nukuu itumie katika Maisha jaribu kufikiria ndiyo itawasaidia before you contribution, kama huna kaa kimya ndg yangu,namnukuu jk aliwahi kusema" funika kombe mwana haramu apite" watu wapo wanawiwa kutoa kama unajua ww siyo mtoaji kaa kimya jamaa mmoja aliwahi kusema kuwa "a meaningful SILENCE is always better than a meaningless Words "jamani ni bora ukae kimya kuliko kuongea maneno ya sio na maana. Naomba mmsaidie huyu muhitaji ndg Zangu asanteni sana
 
Kuna uzi fulani humu, nakumbuka miss natafuta alisema kwamba yeye katika maisha yake alipitia hali ngumu mno, alipitia msoto mkali sanaaa pasipo kupata msaada wa yeyote yule. Alikuwa akiomba sana support lakini hapewi. Alidai kuwa kahangaika sana kutafuta maisha, nadhani hata hilo jina lake linatoa 'reflection' fulani.

Kutokana na machungu aliyopitia mpaka kufikia hapo alipo leo, akasema kwamba hatakuja kusaidia mtu yeyote. So yawezekana kabisa Miss Natafuta alikuwa anamzengua tu mleta mada.

-Kaveli-
mkuu kaveli i wish ungenijua mimi ni mtu fresh kishezi nina huruma sana ila jamaa ukimsoma kama hakuthamini msaada wangu kuna sehemu kasema yeye anaitaji msaada wa haraka ni kama vile mimi najilazimisha flani hiivi nimeona nisimuharibie malengo yake ya kupata mkopo ngoja nikuoneshe alichoandika
unajua kumdhamini mtu ofisini kwa mtu sio jambo dogo mkuu unaweza ukajiharibia hata wewe wenyewe
 
Acha kulilia kijana kapige zege' Miss natafuta kakutafutia kazi za kiume bado unataka msaada gani piga zege unamek miez yako mitatu kwisha nenda kauze vijuice vyako.
 
Back
Top Bottom