- Thread starter
- #61
mkuu kweli umesoma thread yangu vizuri?? samahan lakin! vifaa vyote ninavyo mkuu kama brender,juice dispenser,freezer etc ila kinachofanya pesa ionekane ni nyingi ni kwa sababu ya kodi tu! na unajua ni lazima uwe na sehemu ya kuishi kwanza kabla ya yote Mkuu! na kama isingelikuwa kodi kukalibia kuisha siku chache zijazo ningepambana taratibu bila hata kuja kuomba hapa!Unataka uanze juu mno.
Ulivyojieleza naona mtaji mkubwa tuu.
Kama uko serious anza na juice ya miwa. Haihitaji freezer wala vikorokoro ulivyovitaja.
Usiangalie mbali.
Au biashara ya vitafunwa kwenye sehemu za kazi au kusambaza mahotelini au maduka !
Umeshatoka !! Chukua hatua !!
mkuu sio kila anateomba ni mjinga,muhuni,mvivu au tapeli! saa nyingine ni mambo yanaingiliana tu! natamani unelielewa hali niliyonayo sasa hivi!
Pia mkuu unajua mashine ya juice ni sh ngapi??? unafikir ni bei rahisi tu? mbona inazidi hata pesa niliyoomba kukopeshwa hapa?? Mkuu mambo mengine ni vigumu kuyaelezea