Nahitaji msaada wa kifedha, nimekwama

Nahitaji msaada wa kifedha, nimekwama

Kaka Pole sana kwa yanakusibu!
Tafadhali sana kama kweli unashida hiyo unayosema na si utapeli, Tafadhali sana naomba Jina lako kamili,Jina la balozi wako wa nyumba kumi na Mwenyekiti wa serikali ya mtaa, namba ya simu na anuani ya unapokaa kwa maana ya mtaa na namba ya nyumba na jina la mwenye nyumba yako.Mimi binafsi nitafika au nitatuma intelijensia yangu na nikithibitisha hayo unayosema yana ukweli mimi binafsi ninaweza kukupa nusu ya hiyo fedha unayohitaji kama mkopo uanze biashara yako na unirudishie bila ya riba.Zingatia maelezo husika na Uni PM.Mwenyezi mungu atulinde na Atubariki wote! Amen!
Safi sana. Nyinyi ndiyo watu waelewa, matured na straight acting people. Mungu azidi kukubariki wewe na kizazi chako.
 
Kaka Pole sana kwa yanakusibu!
Tafadhali sana kama kweli unashida hiyo unayosema na si utapeli, Tafadhali sana naomba Jina lako kamili,Jina la balozi wako wa nyumba kumi na Mwenyekiti wa serikali ya mtaa, namba ya simu na anuani ya unapokaa kwa maana ya mtaa na namba ya nyumba na jina la mwenye nyumba yako.Mimi binafsi nitafika au nitatuma intelijensia yangu na nikithibitisha hayo unayosema yana ukweli mimi binafsi ninaweza kukupa nusu ya hiyo fedha unayohitaji kama mkopo uanze biashara yako na unirudishie bila ya riba.Zingatia maelezo husika na Uni PM.Mwenyezi mungu atulinde na Atubariki wote! Amen!


This is what 'kind people' are made of ! All I can see in you is generosity. You know how LIFE treats people.

Stay always blessed. Kazi kwake sasa mleta mada.

-Kaveli-
 
marrk my words

over ambitious ..... this may turn and end up into a bitter saga
 
cheki maelezo yake mkuu halafu unishauri
ilienda ila kutokana na hali ngumu niliishia mwaka wa pili! maana sikuwa na mkopo afu maisha ya chuo nafikiri unajua yalivo magumu na masomo! nilikuwa nasomea mambo ya biashara/uhasibu
Nimesoma chuo bila mkopo na kushinda njaa ni kitu ambacho ni utaratibu wa kila siku ila kwa sasa mpaka inafikia hatua sijui kesho yake nitakula nini!!! Mtu unaweza kujiuliza kwamba kwa nini nisitafute kazi??? kazi zinataka ujuane na watu na pia kazi siwezi kuipata sasa hivi na nilipwe sasa hivi ukizingatia sasa hivi sina hata cheti
!
Mimi binafsi nimesomea biashara na ninapenda biashara!
nimemaliza chuo bado ni mitihani tu na naona inazidi!!
Pia kuhusu kufanya kazi hata za kutwa nipate hela ya kula imekuwa ngumu kutokana na kwamba kila siku nimekuwa mtu wa kuzunguka kutafuta jinsi ya kutatua matatizo haya! kwa hiyo mpaka nikaona siwezi kupata mda wa kufanya kazi hata itakayonipatia elfu tano kwa siku!!
Ndio maana naipenda jf, watu wako deep kudadamvua na kufuatilia issue
 
Mimi ninafanya kazi kampuni ya ujenzi ngoja niangalie kwa matechnician wetu kesho kuna kazi gani site nikuambie uende huko maana kwa siku ni elf 10 hadi 15 nadhani kuna kujenga ,zege ,kuna barabara kazi mbalimbali nk
nitakupa mrejesho.

Upo tayari kwenda hata mikoani sio?
Safi sana msaidie mshikaji
 
Kaka Pole sana kwa yanakusibu!
Tafadhali sana kama kweli unashida hiyo unayosema na si utapeli, Tafadhali sana naomba Jina lako kamili,Jina la balozi wako wa nyumba kumi na Mwenyekiti wa serikali ya mtaa, namba ya simu na anuani ya unapokaa kwa maana ya mtaa na namba ya nyumba na jina la mwenye nyumba yako.Mimi binafsi nitafika au nitatuma intelijensia yangu na nikithibitisha hayo unayosema yana ukweli mimi binafsi ninaweza kukupa nusu ya hiyo fedha unayohitaji kama mkopo uanze biashara yako na unirudishie bila ya riba.Zingatia maelezo husika na Uni PM.Mwenyezi mungu atulinde na Atubariki wote! Amen!
Mkuu nimekujibu tiyari PM, naomba uangalie! nashukuru sana mkuu na Mungu azidi kukujalia
 
hujui maisha niliyopitia mkuu siwezi kumkebehi mtu na shida zake
wewe msome vizuri huyu kijana anataka tu mkopo na mimi siwezi kumgeuzia malengo yako na ujue hakuna kazi mbaya kama kumdhamini mtu mahali akiharibu wewe ndo umeharibu
Kama ulijua kumdhamini mtu ni ku risk kwanini ulionyesha interest mwanzoni? Haikuwa na ulazima wowote pia kuanzia kuonyesha kwamba "haeleweki" bila kuwa na sababu za msingi,hiyo ni sio nia nzuri.
 
Mbona sielewi kinachoendelea ID nyingine inajibu hoja ya mwingine!


Bango
 
Kama ulijua kumdhamini mtu ni ku risk kwanini ulionyesha interest mwanzoni? Haikuwa na ulazima wowote pia kuanzia kuonyesha kwamba "haeleweki" bila kuwa na sababu za msingi,hiyo ni sio nia nzuri.
Ndio maana wengi tumehisi huyu Natafuta alikuwa anatafuta kweli KICK
 
teh teh teh

nimegundua kuna underground drama inaendelea hapa
 
Hizo ni changamoto za kawaida katika maisha. Naomba kukuuliza swali, umesema ulisoma bila mkopo, je ada na mahitaji mengine nani alikuwa anakulipia?.Hiyo pesa ya akiba uliipataje?
 
Back
Top Bottom