Kaka Pole sana kwa yanakusibu!
Tafadhali sana kama kweli unashida hiyo unayosema na si utapeli, Tafadhali sana naomba Jina lako kamili,Jina la balozi wako wa nyumba kumi na Mwenyekiti wa serikali ya mtaa, namba ya simu na anuani ya unapokaa kwa maana ya mtaa na namba ya nyumba na jina la mwenye nyumba yako.Mimi binafsi nitafika au nitatuma intelijensia yangu na nikithibitisha hayo unayosema yana ukweli mimi binafsi ninaweza kukupa nusu ya hiyo fedha unayohitaji kama mkopo uanze biashara yako na unirudishie bila ya riba.Zingatia maelezo husika na Uni PM.Mwenyezi mungu atulinde na Atubariki wote! Amen!