Nahitaji msaada wa kifedha, nimekwama

Nahitaji msaada wa kifedha, nimekwama

Kuna uzi fulani humu, nakumbuka miss natafuta alisema kwamba yeye katika maisha yake alipitia hali ngumu mno, alipitia msoto mkali sanaaa pasipo kupata msaada wa yeyote yule. Alikuwa akiomba sana support lakini hapewi. Alidai kuwa kahangaika sana kutafuta maisha, nadhani hata hilo jina lake linatoa 'reflection' fulani.

Kutokana na machungu aliyopitia mpaka kufikia hapo alipo leo, akasema kwamba hatakuja kusaidia mtu yeyote. So yawezekana kabisa Miss Natafuta alikuwa anamzengua tu mleta mada.

-Kaveli-
aliandika hivi mkuu kumbe umenielewa vizuri, japo hata hiyo ya zege sijaikataa ila nimesema tu kwa kuwa hili tatizo ni la haraka ndo maana nikaomba hata kama bado mtu yupo mwenye nia na uwezo nahitaji msaada wake wa kunikopesha hicho kiasi! na nikasema atakayehitaji details zaidi kama tataka kunisaidia aniPM, pia nikasema atakayetaka kunisaidia kwa riba nae anicheck tuelewane ila inashangaza pale watu wanapokuchukulia muhuni! ningekiwa muhuni basi hata nisingejitahidi kufight mpaka kuweza kununua vifaa nilivyonavyo kwa sasa! ila nimeamini hizi ni challenges watu waliofanikiwa wanazokutana nazo Mkuu
 
Naanza kuingiwa NA wasiwasi NA Miss Natafuta maana kuna wadau wengine hapo wamemuomba awaunganishe kwenye hiyo kaz ila sijaona feedback yyte akiwapatia naona kakomaa NA mleta mada tu kwamba hamwamini tena......Miss Natafuta popote ulipo naomba ujitetee la sivyo utakuwa umejishushia hadhi
sifaji kitu ili nipate credit mkuu au malipo nafanya kitu kwa watu makini ambao watathamini mchango wangu hata kama ni kidogo
na umaskini wangu nilishasaidia watu saana
ila hyu kijana simuhukumu ila ajipange ajue anataka nini mimi ofsini kwa watu sina hata miezi sita nianze kupeleka watu hata hawaeleweki
cheki maelezo yake mkuu halafu unishauri
ilienda ila kutokana na hali ngumu niliishia mwaka wa pili! maana sikuwa na mkopo afu maisha ya chuo nafikiri unajua yalivo magumu na masomo! nilikuwa nasomea mambo ya biashara/uhasibu
Nimesoma chuo bila mkopo na kushinda njaa ni kitu ambacho ni utaratibu wa kila siku ila kwa sasa mpaka inafikia hatua sijui kesho yake nitakula nini!!! Mtu unaweza kujiuliza kwamba kwa nini nisitafute kazi??? kazi zinataka ujuane na watu na pia kazi siwezi kuipata sasa hivi na nilipwe sasa hivi ukizingatia sasa hivi sina hata cheti
!
Mimi binafsi nimesomea biashara na ninapenda biashara!
nimemaliza chuo bado ni mitihani tu na naona inazidi!!
Pia kuhusu kufanya kazi hata za kutwa nipate hela ya kula imekuwa ngumu kutokana na kwamba kila siku nimekuwa mtu wa kuzunguka kutafuta jinsi ya kutatua matatizo haya! kwa hiyo mpaka nikaona siwezi kupata mda wa kufanya kazi hata itakayonipatia elfu tano kwa siku!!
 
mkuu PM hamna kitu cha ajabu zaidi ya namba tu ya simu labda na yule aliyeniuliza kama nasema uongo kuhusu kwamba sijamaliza chuo! nimemueleza vizuri PM na nikamwambia kuwa ni kweli sijamaliza chuo sababu ya kifedha so mimi kusema sina cheti ni kwamba nimeona tu nisiseme vile maana nilishaleta thread hapa lakin bado sijasaidiwa! kwa hiyo PM hamna kitu cha ajabu!
pia kama sina cheti au hata kama nimeishia katikati bado sote tunakuwa hatuna cha kututambulisha tunakuwa tunaonekana hatuma proffession! hayo tu Mkuu ila najisikia vibaya mtu anaposema kuwa mi tapeli

Mimi idea ya mkopo wa laki sita kwangu haiuziki na kwa entrepreneur yoyote haikai vizuri, in short sio feasible, risk ni kubwa sana. Sio kwamba hautakuwa mkweli, lakini haijakaa kibiashara, jaribu kutengeneza mpango biashara (business plan) utaona. Unataka huo mkopo uutumie kwenye kodi, ule and the rest ndio ui-subject kwenye biashara.

Mazingira yatakuwia magumu sana kwenye biashara na utambabaisha huyo aliyekupa. Sijui kama umeshafanya lakini biashara sio straight kama unavyoplan.., kuna lessons(makosa) huko ambayo tuition fee yake ndo mtaji ulionao. Sasa wewe haungizi pesa yote unayodaiwa, hauna back up plan, in case things goes wrong, na bado utahitaji kurudisha pesa ya kodi ya nyumba na chakula kutoka kwenye hiyo start up!!!!!?

Sikukatishi tamaa. Ila invert your plan. Start with an employed role somewhere while you are focusing to build capacity of your entrepreneur plan. Save(for backup) and invest until your comfortable fine with your business venture, then quit and offer full attention to the venture. Don't forget to employ spirit on the go. That's my advice.

By the way did you do Maths in your high school. If you are good in Maths, there is a spot somewhere, I can connect you and you may try your lucky.

Regards.
 
Kabisa, mimi naona kama vile kamgeuka mleta uzi! anasema hamwamini tena
Akijibu mniite please
Naanza kuingiwa NA wasiwasi NA Miss Natafuta maana kuna wadau wengine hapo wamemuomba awaunganishe kwenye hiyo kaz ila sijaona feedback yyte akiwapatia naona kakomaa NA mleta mada tu kwamba hamwamini tena......Miss Natafuta popote ulipo naomba ujitetee la sivyo utakuwa umejishushia hadhi
 
mkuu kaveli i wish ungenijua mimi ni mtu fresh kishezi nina huruma sana ila jamaa ukimsoma kama hakuthamini msaada wangu kuna sehemu kasema yeye anaitaji msaada wa haraka ni kama vile mimi najilazimisha flani hiivi nimeona nisimuharibie malengo yake ya kupata mkopo ngoja nikuoneshe alichoandika
unajua kumdhamini mtu ofisini kwa mtu sio jambo dogo mkuu unaweza ukajiharibia hata wewe wenyewe
Nasubiri ulete hicho alicho kiandika
 
Nasubiri ulete hicho alicho kiandika
mkuu kumbe umenielewa vizuri, japo hata hiyo ya zege sijaikataa ila nimesema tu kwa kuwa hili tatizo ni la haraka ndo maana nikaomba hata kama bado mtu yupo mwenye nia na uwezo nahitaji msaada wake wa kunikopesha hicho kiasi! na nikasema atakayehitaji details zaidi kama tataka kunisaidia aniPM, pia nikasema atakayetaka kunisaidia kwa riba nae anicheck tuelewane ila inashangaza pale watu wanapokuchukulia muhuni! ningekiwa muhuni basi hata nisingejitahidi kufight mpaka kuweza kununua vifaa nilivyonavyo kwa sasa! ila nimeamini hizi ni challenges watu waliofanikiwa wanazokutana nazo Mkuu
 
Nasubiri ulete hicho alicho kiandika
cheki maelezo yake mkuu halafu unishauri
ilienda ila kutokana na hali ngumu niliishia mwaka wa pili! maana sikuwa na mkopo afu maisha ya chuo nafikiri unajua yalivo magumu na masomo! nilikuwa nasomea mambo ya biashara/uhasibu
Nimesoma chuo bila mkopo na kushinda njaa ni kitu ambacho ni utaratibu wa kila siku ila kwa sasa mpaka inafikia hatua sijui kesho yake nitakula nini!!! Mtu unaweza kujiuliza kwamba kwa nini nisitafute kazi??? kazi zinataka ujuane na watu na pia kazi siwezi kuipata sasa hivi na nilipwe sasa hivi ukizingatia sasa hivi sina hata cheti
!
Mimi binafsi nimesomea biashara na ninapenda biashara!
nimemaliza chuo bado ni mitihani tu na naona inazidi!!
Pia kuhusu kufanya kazi hata za kutwa nipate hela ya kula imekuwa ngumu kutokana na kwamba kila siku nimekuwa mtu wa kuzunguka kutafuta jinsi ya kutatua matatizo haya! kwa hiyo mpaka nikaona siwezi kupata mda wa kufanya kazi hata itakayonipatia elfu tano kwa siku!!
 
Kuanzia sasa natangaza ku unsubscribe huu uzi rasmi , maana hii ni zaidi ya figisu aiseeee....
 
Mimi idea ya mkopo wa laki sita kwangu haiuziki na kwa entrepreneur yoyote haikai vizuri, in short sio feasible, risk ni kubwa sana. Sio kwamba hautakuwa mkweli, lakini haijakaa kibiashara, jaribu kutengeneza mpango biashara (business plan) utaona. Unataka huo mkopo uutumie kwenye kodi, ule and the rest ndio ui-subject kwenye biashara.

Mazingira yatakuwia magumu sana kwenye biashara na utambabaisha huyo aliyekupa. Sijui kama umeshafanya lakini biashara sio straight kama unavyoplan.., kuna lessons(makosa) huko ambayo tuition fee yake ndo mtaji ulionao. Sasa wewe haungizi pesa yote unayodaiwa, hauna back up plan, in case things goes wrong, na bado utahitaji kurudisha pesa ya kodi ya nyumba na chakula kutoka kwenye hiyo start up!!!!!?

Sikukatishi tamaa. Ila invert your plan. Start with an employed role somewhere while you are focusing to build capacity of your entrepreneur plan. Save(for backup) and invest until your comfortable fine with your business venture, then quit and offer full attention to the venture. Don't forget to employ spirit on the go. That's my advice.

By the way did you do Maths in your high school. If you are good in Maths, there is a spot somewhere, I can connect you and you may try your lucky.

Regards.
Samahani mkuu, umenena jambo jema saba! Kama kuna walau nafasi ya uhasibu mahali hapo waweza kuniunganisha mkuu! Uaminifu ndio nguzo ya maisha yangu...!!! Nisamehe tena..kwa kwenda nje ya mada.
Regards.
 
sifaji kitu ili nipate credit mkuu au malipo nafanya kitu kwa watu makini ambao watathamini mchango wangu hata kama ni kidogo
na umaskini wangu nilishasaidia watu saana
ila hyu kijana simuhukumu ila ajipange ajue anataka nini mimi ofsini kwa watu sina hata miezi sita nianze kupeleka watu hata hawaeleweki
cheki maelezo yake mkuu halafu unishauri
ilienda ila kutokana na hali ngumu niliishia mwaka wa pili! maana sikuwa na mkopo afu maisha ya chuo nafikiri unajua yalivo magumu na masomo! nilikuwa nasomea mambo ya biashara/uhasibu
Nimesoma chuo bila mkopo na kushinda njaa ni kitu ambacho ni utaratibu wa kila siku ila kwa sasa mpaka inafikia hatua sijui kesho yake nitakula nini!!! Mtu unaweza kujiuliza kwamba kwa nini nisitafute kazi??? kazi zinataka ujuane na watu na pia kazi siwezi kuipata sasa hivi na nilipwe sasa hivi ukizingatia sasa hivi sina hata cheti
!
Mimi binafsi nimesomea biashara na ninapenda biashara!
nimemaliza chuo bado ni mitihani tu na naona inazidi!!
Pia kuhusu kufanya kazi hata za kutwa nipate hela ya kula imekuwa ngumu kutokana na kwamba kila siku nimekuwa mtu wa kuzunguka kutafuta jinsi ya kutatua matatizo haya! kwa hiyo mpaka nikaona siwezi kupata mda wa kufanya kazi hata itakayonipatia elfu tano kwa siku!!
VP NA hao waliokuomba msaada wa hiyo kazi ya Zege ukiondoa mtoa mada? Maana wao pia inawezekana pengine wana shida zaid ya mtoa mada.
 
VP NA hao waliokuomba msaada wa hiyo kazi ya Zege ukiondoa mtoa mada? Maana wao pia inawezekana pengine wana shida zaid ya mtoa mada.
kumtafutia mtu kazi sio jambo dogo ujue inaitaji commitment haswa mkuu
mtu anapelekwa site kuna vifaa vya mamillioni hata simjui siwezi kujibu kirahisi njoo na mimi ni binadamu pia usiangalie upande mmoja ndo maana sijibu sio jambo dogo hii ni mitandao
 
ushauri wangu
kama mtu kweli una shida kuwa tu mkweli na muwazi asa long ushaamua kuweka shida zako hadharani
ni kama mtu unaenda interview unasema hiki mara kile hata kama watu wana kazi watakuchukuaje?
tatizo wanaume mshazoea uongo hata vitu vya maana
wengine tushadanganywa sana yaani ukikosea tu tunashtuka ushaharibu hivo .
hamuaminiki
 
Toa sadaka yako bila mkono wa kushoto kujua..... Na kama mko tayari kumkopesha mkopesheni mbona mashahidi tupo, na tuliomuamini japo hatuna namna ya kumsaidia tutakuwa tayari kumdhamini?
 
kumtafutia mtu kazi sio jambo dogo ujue inaitaji commitment haswa mkuu
mtu anapelekwa site kuna vifaa vya mamillioni hata simjui siwezi kujibu kirahisi njoo na mimi ni binadamu pia usiangalie upande mmoja ndo maana sijibu sio jambo dogo hii ni mitandao
 
Kwa siku 15,000
15,000 × 30 =450,000
Matumizi yako ya mwezi mzima 150,000 baada ya miezi miwili ushapata hio 600,000. Pia ni PM sio DM
Mkuu mi nlidhani utamsaidia hata kazi ya kukufagilia nyumba
Hivi kweli mkuu umesoma vizuri tangazo langu na kulielewa vizuri? kwa nini binadamu tuko hivi?? unajua saa nyingine tatizo sio kiwango cha pesa ila tatizo ni mda! nimesema kwa upande wa kodi ni siku chache tu zimebaki! so hata nikifanya kazi sitakanilisha! Mkuu unafikiri mimi napenda kuomba omba?? au unafikir mi tapeli?? kama isingelikuwa kodi mbona ningepambana tu taratibu?? jaman tuwe wepesi saa nyingine! pia sijakataa kazi naomba unielewe vizuri
Sasa wewe
Hayo mafriji si uyaweke bond kwa huyo mwenye nyumba wako huku ukiendelea kuyatumia?? mimi nnavyojua hawezi kukutimua kwa kumpa ombi hilo as long as ni mpangaji wake mtiifu,
sasa Kama ameshindwa kukuamini mwenye nyumba wako unafkiri humu nani atakuamini?
 
ushauri wangu
kama mtu kweli una shida kuwa tu mkweli na muwazi asa long ushaamua kuweka shida zako hadharani
ni kama mtu unaenda interview unasema hiki mara kile hata kama watu wana kazi watakuchukuaje?
tatizo wanaume mshazoea uongo hata vitu vya maana
wengine tushadanganywa sana yaani ukikosea tu tunashtuka ushaharibu hivo .
hamuaminiki
Mkuu samahani kama nitakukosea nitakavyojibu!! sikutaka kujibu zaidi lakin bado naona unanifanya naonekana muongo muongo hata kwa watu labda wenye nia na uwezo! dada angu kuna mambo nimekujibu vizuri tu

1. swala la kufanya kazi yoyote ile
kwenye tangazo langu nilisema hivo kwamba kutokana na kuzunguka sana huku na huku ndo maana nikashindwa kutafuta kazi ya kulipa kwa siku! lakin natumahi unaelewa kwamba hiyo ilikuwa ni up to that moment, so that means from that moment am ready to do anything as long as it pays!

2. kuhusu suala la kulipwa 10-15k per day!
hili nikasema sawa hamna tatizo kwa sababu hiyo elfu 10 au 15 itanisaidia katika matumizi kama chakula na mengine ya kila siku ila kwa hili tatizo la laki sita nikasema kwamba kwa kuwa hela zenyewe ni kuhusu tatizo la haraka zaidi ndo maana nikaomba kama bado kuna mtu anaweza kunikopesha nitashukuru! pia nikasema kwamba kweli sio vizuri kwa mtoto wa kiume kuomba omba hivi maana hata mimi mwenyewe ila ni situation zimeingiliana! mpaka nifanye kazi labda miezi miwili ndo ntapata hii hela! ila kwa kuwa hela inahitajika ndani ya siku kama ishirini hivi ndo maana nikaendelea kuomba kama kuna wa kunikopesha zaidi


3. kuhusu suala la Pm
PM nimekueleza vizuri tu na nikakupa na namba ili tuwasiliane! sasa kweli kama ningekuwa nakudanganya ningekupa namba na nikakwambia ninakokaa??? kweli dada angu???

4..Pia kwenye maelezo yangu nimesema laiti kama isingelikuwa kodi basi ningefight taratibu bila hata kuja kuomba hivi maana sikutegemea katika maisha yangu kuja kuanza kuomba hivi na kuchukuliwa hivi! Vifaa vyote ninavyo ila ni marekebisho kidogo tu yanahitajika ili kuanza kazi rasmi! sijui kwa nini hujanielewa dada angu!

kama kuna suala sijalijibu nitalijibu maana mimi sio kama unavonichukulia! i never wanted this kind of life but it just matter of time sister
 
Toa sadaka yako bila mkono wa kushoto kujua..... Na kama mko tayari kumkopesha mkopesheni mbona mashahidi tupo, na tuliomuamini japo hatuna namna ya kumsaidia tutakuwa tayari kumdhamini?
asante mkuu wa comment yako
 
Back
Top Bottom