miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,109
- Thread starter
-
- #61
swali ulilouliza la uzalilishaji hilo nilishasamehe mkuu ..Kuna kitu kinakustress,sasa lazima tujue,umeolewa,una mtoto ,watoto,uchumi ukoje,lifestyle,makuzi yako labda uliwahi kudhalilisha kijinsia ukiwa mdogo,
wazazi wako wapo hawapo.,labda ulishuhudia mamako akinyanyaswa na baba,au labda walikuacha ungali mdogo ukalelewa na mama wa kambo kwa manyanyaso etc,
kama tatizo liko serious,lazima background yako itambuliwe ili mtu ajue namna ya kukusaidia.
Ila kama tatizo liko skindeep,pengine frustration za maisha zinachangia tu,so you need to relax and take easy kwa kila kitu,
Acha kumfundisha mwenzako kuvuta madawa ya kulevya.Ukiwa na hasira jitaidi kuhesabu mpaka mia kwa kingereza na kiswahili.
Ukiona bado una tatizo ilo vuta bange kisha sikiliza music. Trust me hutajutia na utakuwa mwepesi wa kusamehee.
asante mkuu nafanyia kazinakunywa pombe sana ili niliwe nizime nilale (naamini hapa ulimaanisha ulewe na sio uliwe)
solution sasa.....
1. jaribu kuonyesha hisia zako mara pale mtu anapokukwaza kwa maana jinsi unavyokaa navyo moyon ndio unavyozid kujenga chuki na hasira juu ya hilo jambo
2. kukaa ndan na kunywa pombe wont do any good to you since unakua unahamisha muda wa hasira zako kama ilvyoelezwa namba moja hapo juu la msing unapokua na hasira jaribu kukaa mazingira au na watu ambao watakufanya uwe na furaha.
3. usiruhusu hali ya mtu kukukera mpka unafikia hatua ya kukasirika ukiona kuna mazingira ya wewe kupandwa na hasira jarbu kukaa nae mbali au kubadili aina ya mazungumzo.
4. tafuta mtu / watu unaweza kuwaamin na kuwaambia jinsi unavyojiskia jinsi ya jambo fulan ambalo una waswas linaweza kukuweka kwenye mazingira ya kupandwa na hasira.
5.fanya kitu unachopenda na ambacho kitachukua akili na concetration yako muda ambao una hasira.
6. sali na muombe mungu wako uondokane na hyo hali ya kua na hasira.
7. hayo yote hap juu yanawezekana if n only if ukiaamua kuachana na hasira otherwise hata rehab wont help you by any means.
kweli kabisaYesu alisema ''Njooni kwangu ninyi nyote msumbukao na wenye kuelemewa ma mizigo, nami nitawapumzisha''
Jaribu hii njia utafanikiwa, nakuhakikishia.
Pole sana though
Yaani hapo jitahidi ukikasirika usiwaze pombe mamy, mie huwa naliaga tuu na naenda sehemu iliyotulia mwenyewe kama masaa mawili narudi nyumbani. Namshukuru Mungu sijui ladha ya pombe
okey shukran na pole.asante mkuu nafanyia kazi
Anza kufanya maana huwa linapunguza hasira, msongo wa mawazo na mengine mengi.hilo tendo mi si kitu nacho penda kufanya .. labda nianze kulifanya mara kwa mara
Ndio, sehemu ambayo haina kelele kabisaaa, halafu mie sio muumini wa pombe.Yaani una mawazo mob afu unaenda sehemu iliyotulia? si ndio unaongeza mawazo? mie nikiwa na mawazo naenda zangu club napiga zangu vyombo vyakutosa
Braza umesema ulishakiwa na demu mwenye hali hii.... vip ulikabilianaje na hali yake hiyo?Utakuwa na ugonjwa wa ukichaa au kwa jina la Kizungu wanaita Bordeline Personality Disorder (BPD) nakushauri kama upo Bongo uende kwa Kitila Mkumbo yeye ana PhD ya psychology labda atakusaidia kidogo lkn ni ngumu sana kupata tiba yake hapa Bongo kwani hatuna hawa Wataalamu!
Wanasema hii inatokana na madhara ambayo uliyapata wkt ukiwa mtoto, labda ulibakwa au kuteswa kwa ujumla ulikosa mapenzi utotoni ambapo mtoto wa kawaida hupata ktk kwa Wazazi au Walezi vile vile kuna kurithi wengine hurithi huo ukichaa ulio nao hivyo angalia kwenye familia yako kama mna asili ya ukichaa basi hapo na wewe utakuwa umerithi na hapo hakuna kitu utafanya, ningekushauri usianzishe mahusiano ya kimapenzi ili kutokuwadhuru wengine, nilishwahi kuwa na Demu mwenye huo ukichaa, hivyo najua ninachokiongelea!
Yaani wewe mtu ni mvuta bangi mzuri au muuza bangi sasa unatafuta wateja.Pombe usinywe.. vuta bangi sikiliza mimbo ya zamani ulio kuwa unaipenda wakati huo.
Binafsi nikiwa na hasira navuta bange nusu kisha nasikiliza mimbo ya zamani kama Rasta wake up ya Senzo. Moyo unatulia na nakuwa na Amani kisha nakuwa na moyo wa kusamehe kiroho safi kabisa.
nimekupata aisee mi naogopa damuHilo ttzo hata mm ninalo ila jitahid sana kusoma vitabu na cku utakapoamua kupunguza hasira itakua ndiyo mwisho, nilishawahi kumkata mdogo wangu na Mndo au ishame. umenipata, J from vunjo.
Ndg. Una maradhi yanayoitwa Mood Swing !! hiyo hutokana na misongo isiyo isha.. Sasa tulizana.. Tiba ikikuvamia pale ulipo ingia bafuni ujimwagie maji!!! Kama wee ni mwiSilam basi chukuwa udhu haraka... God bless you na good luck!!asante mkuu nataka kupona
sawa tu nitapona sasa nimedhamiriaPole sana...inaonekana wewe ni sehemu ya statistics....katika kila watanzania wanne....mmoja ni....
Mzee wa songeaPole sana Binti.
jaribu kufata ushauri uliopewa huko juu na wadau. na uufanyie kazi pole sana.
siku ukitaka kulewa nitafute tukalewe wote mimi ntakunywesha tu.