Minjingu Jingu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2023
- 1,439
- 3,199
- Thread starter
- #41
Sawa. Haziumizi?Tafuta weights metal za 25Kg funga moja kila upande wa korodani tembea nazo angalau miezi sita utakuwa zitaning'inia kama unavyotaka.
Sawa. Haziumizi?Tafuta weights metal za 25Kg funga moja kila upande wa korodani tembea nazo angalau miezi sita utakuwa zitaning'inia kama unavyotaka.
Sina ngiri wa tatizo la tumbo. Hujasoma ukaelewa.Tatizo la kawaida. Unaweza kuwa na matatizo ya tumbo. Nenda kwa daktari upate msaada na ushauri. SIyo big deal hiyo. Ni ngiri ya kawaida ambayo yaweza kutibiwa hata kwa dawa za kienyeji mwanangu.
Kajibusha flani hivi amazingUnataka uwe na busha mkuu sio
Ok. Nitafanya hivyo nashukuru sana mawe ni haya haya au yapo maalum?Tafuta jiwe lenye uzito wa kilo 3 au 4. Chukua kamba uifunge kwenye korodani kisha ning'iniza jiwe hilo kwa dakika 10. Pumzika kwa dakika 5 kisha rudia mara 3 kila siku kabla ya kulala.
Nawirisha mwili wako,I mean huwezi kuwa kimbaumbau huku testes zako zimenenepaMimi tatizo langu kubwa ambalo linaloninyima raha ni kuwa korodani zangu naona si kubwa kiasi kile ambacho ngependa ziwe.
Napenda kawe kafurushi flani hivi hata nikiwa sina nguo zinaning'inia (pumbuh mzigo) napenda sana. Hizi nlizo nazo of course demu wengine husema wanazipenda nikiwa nyuma yao zinagonga gonga kwenye nanii. Sasa nataka niongezee. Je kuna dawa ya kuongezea pumbuh? Ntashukuru sana.
Mi ni mwembamba na mrefu sasa usitake niwe bonge. Mademu si huwa wanapenda wanaume wembamba warefu na weusi? Ndo mimi sasa sukari ya mademNawirisha mwili wako,I mean huwezi kuwa kimbaumbau huku testes zako zimenenepa
Na njia nzuri Kwa kunywa Kwa wingi protein
Chukua:ndizi mbivu,parachichi jeusi,siagi ya karanga au almond au korosho, oatmeal (hii nenda supermarket utazikuta),asali, na maxiwa fresh nusu Lita.
Saga vyote Kwa pamoja unaweza kunywa asubuhi ama usiku.
Sperm zako zitajaa Kwa wingi naa testes zako zitakuwa kubwa na utanawiri mwili wako
Kinyume na hapo ni maumbileyako ya kuzaliwa
Basi Baki na nyanyachungu zako...Mi ni mwembamba na mrefu sasa usitake niwe bonge. Mademu si huwa wanapenda wanaume wembamba warefu na weusi? Ndo mimi sasa sukari ya madem
Mmmh....unaweza kuziangalia lakini zilivyo uaone zinatakiwa kuwaje?Basi Baki na nyanyachungu zako...
Hakuna namna zaidi
Afu humu mnajuana hadi dini na makabira kumbe duh!!!?,haina maana ya fake Id kumbeukitumia neno baadhi inakuwa vizuri zaidi na haileti ukakasi.
Una tatizo la kisaikolojia.Mimi tatizo langu kubwa ambalo linaloninyima raha ni kuwa korodani zangu naona si kubwa kiasi kile ambacho ngependa ziwe.
Napenda kawe kafurushi flani hivi hata nikiwa sina nguo zinaning'inia (pumbuh mzigo) napenda sana. Hizi nlizo nazo of course demu wengine husema wanazipenda nikiwa nyuma yao zinagonga gonga kwenye nanii. Sasa nataka niongezee. Je kuna dawa ya kuongezea pumbuh? Ntashukuru sana.
Mawe ni hayahaya tuOk. Nitafanya hivyo nashukuru sana mawe ni haya haya au yapo maalum?
Napiga pumbuh tu. Unataka?Una tatizo la kisaikolojia.
Una tatizo la kutojiamini na kutojikubali.
Hata upewe dawa ya kuongeza, bado utafika wakati utaziona tena ndogo au mzigo na kuboa.
Unafanya kazi gani wewe??
Basi kajitibu wewe uliyeelewaSina ngiri wa tatizo la tumbo. Hujasoma ukaelewa.