Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 48,323
- 115,323
Nenda zanzibar kule mitaa ya nungwi wapo wengi sana , tena wapo wa nchi tofauti tofauti, ukimpata tunaomba utuletee mrejesho maana nasikia wanararua marinda balaaHabari zenu wanajukwaa,
Kwanza nashukuru sana kwa kunitia moyo katika uzi wangu uliopita.
Pili, nikwamba bado sijakata tamaa nahitaji mpenzi lakini awe ngozi nyeupe(Mzungu) tafadhali dada zangu kina miss chagga, miss natafuta, jjes na wengine wote naombeni maujuzi nifanyeje mdogo wenu.
Note: Sitampa tena mwanaume hela
Aisee kumbe? Hongerayuko poa ila hamzidi wanguuuuuu
Upo wewe!