Neylu
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 2,938
- 1,842
Kwani deadline ya kujinadi humu ni lini?
Deadline bado my dear, karibu nawe ujaribu bahati yako..Lol
Kwani deadline ya kujinadi humu ni lini?
hahaha jamani nahisi teh teh ki ki ki ki uuwiiii haya subirini usaili mwisho tarehe 30 mwezi 11 2012 kama hajapatikana! basi nitabadilisha mwelekeo!
gunzi linatupwaje.....?
Kama takataka ingine......sisi kwetu huyahifadhi kwa kusugulia visigino
we si una mtotot?wanaume bwana we mwenyewe used unakataa mwanamke used hivi wanauume mbona wabinafsi sana.hata mimi ungekuwa huna mtotot ningekuwa comp.candidates
we si una mtotot?wanaume bwana we mwenyewe used unakataa mwanamke used hivi wanauume mbona wabinafsi sana.hata mimi ungekuwa huna mtotot ningekuwa comp.candidates
Hahahahah anataka ki2 brand new wakati yeye used! Lol jf kuna hatariii
habari zenu wana jf..? natumain tunaianza cku kwa matumain! jana ilikuwa siku ya promes nimeonana na wadada wawili daah sijuwi hawakunielewa? swali la kwanza lilikuwa hili namuuliza unamtoto? anasema ndio ila ninao wawili (2)..! jamani na sisitiza ukiwa na watoto wawili pole sana wala usipoteze mda wangu pls pls pls.
mimi nimekupenda sana.....hasa ulivyotaja mambo ya kilimo nikakumbuka mahindi ya kuchoma......wallah nakupenda wewe......na niko serious.......napatikana Yaeda.......
Kasema ukiwa na mtoto awe mmoja sio wawili. . .