Wadau naomba mnishauri ni benki gani inaweza kunipatia mkopo wa kuendelezea biashara yangu. Nina biashara ndogo ya stationery nataka kuiboresha.
Naombeni msaada wenu.
Title deed pekee haikufanyi wewe upate mkopo.Kigezo kikuu na muhimu ni uwezo wako wa kulipa deni na riba. Sasa umesema title deed ina miaka 33 je biashara yako ina miaka mingapi? je mapato yako kwa mwezi kiasi gani? je matumizi yako kiasi gani? je unahitaji kiasi gani? Hiyo nyumba au kiwanja chenye hiyo title kimeshafanyiwa valuation ? je thamani kiasi gani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.