Jane Msowoya JF-Expert Member Joined Aug 20, 2017 Posts 4,795 Reaction score 8,942 Mar 3, 2025 #1 Heshima kwenu wakuu. Nahitaji mchai chai mbichi (Lemon grass) Nahitaji kilo 500 max ila hata ukiwa na kilo 50 nachukua Kama mzigo unao karibu Whatsapp 0688301635 Attachments IMG-20250303-WA0014.jpg 35.8 KB · Views: 21
Heshima kwenu wakuu. Nahitaji mchai chai mbichi (Lemon grass) Nahitaji kilo 500 max ila hata ukiwa na kilo 50 nachukua Kama mzigo unao karibu Whatsapp 0688301635
Beesmom JF-Expert Member Joined Oct 4, 2022 Posts 37,361 Reaction score 91,911 Mar 3, 2025 #3 Ipo nje hapo ngoja nikuchumie
dikir kab can JF-Expert Member Joined Mar 20, 2018 Posts 2,193 Reaction score 4,304 Mar 3, 2025 #4 ukiwa na wasaa mwasonga kigamboni unaweza kupata zaidi ya hizo ila kwa kukusanya kwa mtu zaidi ya mmoja.
ukiwa na wasaa mwasonga kigamboni unaweza kupata zaidi ya hizo ila kwa kukusanya kwa mtu zaidi ya mmoja.
Jane Msowoya JF-Expert Member Joined Aug 20, 2017 Posts 4,795 Reaction score 8,942 Mar 3, 2025 Thread starter #5 dikir kab can said: ukiwa na wasaa mwasonga kigamboni unaweza kupata zaidi ya hizo ila kwa kukusanya kwa mtu zaidi ya mmoja. Click to expand... Asante sana
dikir kab can said: ukiwa na wasaa mwasonga kigamboni unaweza kupata zaidi ya hizo ila kwa kukusanya kwa mtu zaidi ya mmoja. Click to expand... Asante sana
CAPO DELGADO JF-Expert Member Joined Aug 31, 2020 Posts 9,764 Reaction score 20,456 Mar 11, 2025 #6 Maana yake unahitaji Jumla Ya kilo 500 kg , Nusu Tani za Mchaichai Mbichi. Kwa aulivyo andika ni kama Kilo 1 shilingi 500. Anyway Kama utaweza kunipa Mrejesho wa Kg ulizopata hadi sasa. Asante sana. 🙏
Maana yake unahitaji Jumla Ya kilo 500 kg , Nusu Tani za Mchaichai Mbichi. Kwa aulivyo andika ni kama Kilo 1 shilingi 500. Anyway Kama utaweza kunipa Mrejesho wa Kg ulizopata hadi sasa. Asante sana. 🙏
Nikifa MkeWangu Asiolewe JF-Expert Member Joined Feb 26, 2024 Posts 11,266 Reaction score 24,155 Mar 12, 2025 #7 Mkuu huwa unahitaji mara kwa mara niingie mzigoni?