Jane Msowoya JF-Expert Member Joined Aug 20, 2017 Posts 5,040 Reaction score 9,650 Mar 3, 2025 #1 Heshima kwenu wakuu. Nahitaji mchai chai mbichi (Lemon grass) Nahitaji kilo 500 max ila hata ukiwa na kilo 50 nachukua Kama mzigo unao karibu Whatsapp 0688301635 Attachments IMG-20250303-WA0014.jpg 35.8 KB · Views: 29
Heshima kwenu wakuu. Nahitaji mchai chai mbichi (Lemon grass) Nahitaji kilo 500 max ila hata ukiwa na kilo 50 nachukua Kama mzigo unao karibu Whatsapp 0688301635
adriz de mbusii JF-Expert Member Joined Sep 2, 2017 Posts 16,787 Reaction score 37,796 Mar 3, 2025 #2 Sawa
Beesmom JF-Expert Member Joined Oct 4, 2022 Posts 37,436 Reaction score 92,226 Mar 3, 2025 #3 Ipo nje hapo ngoja nikuchumie
dikir kab can JF-Expert Member Joined Mar 20, 2018 Posts 2,192 Reaction score 4,310 Mar 3, 2025 #4 ukiwa na wasaa mwasonga kigamboni unaweza kupata zaidi ya hizo ila kwa kukusanya kwa mtu zaidi ya mmoja.
ukiwa na wasaa mwasonga kigamboni unaweza kupata zaidi ya hizo ila kwa kukusanya kwa mtu zaidi ya mmoja.
Jane Msowoya JF-Expert Member Joined Aug 20, 2017 Posts 5,040 Reaction score 9,650 Mar 3, 2025 Thread starter #5 dikir kab can said: ukiwa na wasaa mwasonga kigamboni unaweza kupata zaidi ya hizo ila kwa kukusanya kwa mtu zaidi ya mmoja. Click to expand... Asante sana
dikir kab can said: ukiwa na wasaa mwasonga kigamboni unaweza kupata zaidi ya hizo ila kwa kukusanya kwa mtu zaidi ya mmoja. Click to expand... Asante sana
CAPO DELGADO JF-Expert Member Joined Aug 31, 2020 Posts 11,549 Reaction score 25,390 Mar 11, 2025 #6 Maana yake unahitaji Jumla Ya kilo 500 kg , Nusu Tani za Mchaichai Mbichi. Kwa aulivyo andika ni kama Kilo 1 shilingi 500. Anyway Kama utaweza kunipa Mrejesho wa Kg ulizopata hadi sasa. Asante sana. 🙏
Maana yake unahitaji Jumla Ya kilo 500 kg , Nusu Tani za Mchaichai Mbichi. Kwa aulivyo andika ni kama Kilo 1 shilingi 500. Anyway Kama utaweza kunipa Mrejesho wa Kg ulizopata hadi sasa. Asante sana. 🙏
Nikifa MkeWangu Asiolewe JF-Expert Member Joined Feb 26, 2024 Posts 12,291 Reaction score 26,993 Mar 12, 2025 #7 Mkuu huwa unahitaji mara kwa mara niingie mzigoni?