Habarini wapendwa wa jf natumai mko poa kama mada isemavyo hapo juu mimi nahitaji kueleweshwa ni wapi napatA hiyo mashine ya mkononi ya kufyeka mpunga au yule atakae kuwa nayo anahitaji kuiuza nahitaji pia karibuni nyote kwa maoni hapo chini namba zangu ni 0625616179