Mzee maisha magumu hivi unawaza kuchat chat tuuu, sema tuu unatafta walimbwende hapa maana watoto wa kiume kwa kiume hua hawachat.
Mabinti wenyewe siku hizi hawataki kuchat chat wanataka sms za TIGOpesa, Mpesa na Airtel money basi kama unataka kuchat chat na shangazi zako.