Samahani wadau wenzangu, natambua kuna uzi wa pafyumu mbalimbali humu lakini nilivyoupitia nimeona nyingi za mle ni bei kali. Wengine sisi walamba nyau kumudu ni kazi.
Ombi langu kwenu ni aina gani ya pafyumu kwa mwanaume kijana isiyozidi elfu 15 au 20 angalau ina uzuri fulani naweza nikanukia vizuri mbele ya Umma?
Ombi langu kwenu ni aina gani ya pafyumu kwa mwanaume kijana isiyozidi elfu 15 au 20 angalau ina uzuri fulani naweza nikanukia vizuri mbele ya Umma?