Nahitaji Maharage, Mchele, Karanga na Unga wa Mahindi

Nahitaji Maharage, Mchele, Karanga na Unga wa Mahindi

Bei ya mahindi gunia ni 50000,na karanga kilo ni 1800,karibu..
Mkuu, yeye yupo Uingereza hajui bei za Bongo halafu pili ni kwamba watanzania tusipende kupangiwa bei wewe mwenye biashara ndio unatakiwa kupanga bei kwa mnunuaji kama mnunuaji hajaridhika na bei ata bargain na akishindwa kwako anaenda kwa mwenye bei nzuri zaidi. Mimi nakusanya taarifa kisha narudisha ripoti kwake then maamuzi yanafanyika.
ni pm namba yake tufanye mazungumzo zaidi.
 
weka bold na msisitizo hapo kwenye grade A. halafu sidhani kama hayo mazao yanaweza kuingia kienyeji tu huko Uingereza, nafikiri kutakuwa na mlolongo wa vibali hadi hilo liweze kutokea.
 
Back
Top Bottom