Nahitaji Maharage, Mchele, Karanga na Unga wa Mahindi

Nahitaji Maharage, Mchele, Karanga na Unga wa Mahindi

Old Member (Retired)

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2012
Posts
3,401
Reaction score
1,618
Habari zenu wakuu,

Nina rafiki yangu yupo Uingereza anataka mazao tajwa nimtumie akauze nchini kwake kwani kuna soko kubwa la mazao hayo nchini kwake, yanahitajika kwa wingi kadri ya uwezo wako hakuna limit.

1. MAHARAGE MEKUNDU 2. MCHELE 3. UNGA WA MAHINDI 4. KARANGA

KUMBUKA: Mazao hayo yawe grade A.

Lakini pia, nahitaji ushauri wenu wakuu kuhusu taratibu za msingi zinazotakiwa kufuatwa ili kusafirisha mazao hayo nje ya nchi.

Email yangu ni: mchunguzihuru@hotmail.com
 
Uko vizuri unatakiwa uwe I nampelekea kiasi gani kila mwezi na malipo yake yakoje mie nataka hiyo tenda ndugu


Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app
 
Naomba email yako pls


Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app
 
Even contact zako pls


Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app
 
Weka hadharani,bei ya jumla ya bidhaa tajwa,eneo nililopo lina vitu hivyo kwa wingi,
 
Uko vizuri unatakiwa uwe I nampelekea kiasi gani kila mwezi na malipo yake yakoje mie nataka hiyo tenda ndugu


Sent from my iPhone using JamiiForums mobile app

Huyo jamaa anataka kadri ya uwezo wako kwani anafikiria kufungua na kiwanda awe anafanya packaging hapa hapa kabla ya kupeleka nchini kwake.
 
Weka hadharani,bei ya jumla ya bidhaa tajwa,eneo nililopo lina vitu hivyo kwa wingi,
Mkuu, yeye yupo Uingereza hajui bei za Bongo halafu pili ni kwamba watanzania tusipende kupangiwa bei wewe mwenye biashara ndio unatakiwa kupanga bei kwa mnunuaji kama mnunuaji hajaridhika na bei ata bargain na akishindwa kwako anaenda kwa mwenye bei nzuri zaidi. Mimi nakusanya taarifa kisha narudisha ripoti kwake then maamuzi yanafanyika.
ni pm namba yake tufanye mazungumzo zaidi.
 
Nipe tenda kaka mie nipo Manyoni hapa mzigo unapatikana kwa wingi
 
Habari zenu wakuu,

Nina rafiki yangu yupo Uingereza anataka mazao tajwa nimtumie akauze nchini kwake kwani kuna soko kubwa la mazao hayo nchini kwake, yanahitajika kwa wingi kadri ya uwezo wako hakuna limit.

1. MAHARAGE MEKUNDU 2. MCHELE 3. UNGA WA MAHINDI 4. KARANGA

KUMBUKA: Mazao hayo yawe grade A.

Lakini pia, nahitaji ushauri wenu wakuu kuhusu taratibu za msingi zinazotakiwa kufuatwa ili kusafirisha mazao hayo nje ya nchi.

Email yangu ni: mchunguzihuru@hotmail.com

unga wa mahindi uingereza?please muchunguzi.
 
Back
Top Bottom