Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 25,468
- 46,273
Huyu inabidi aolewe apewe nyumba na gari maana ile ya kulelewa na majimama imemshinda.Ukitaka mafanikio ya haraka labda wakutatue marinda
Huyu inabidi aolewe apewe nyumba na gari maana ile ya kulelewa na majimama imemshinda.Ukitaka mafanikio ya haraka labda wakutatue marinda
1. Darasa la sita usingekuwa na uwezo wa kuandika hicho ulichokiandika.Nimekuwa natafuta maisha mazuri ila hawezekani kwa nyakati hizi kutokana na ari kuwa ngumu kote kote kwa sisi Viben10 sasa na hata wasio kama sisi, naombeni ushauri juu ya jambo hili;
Jana nimepata kuiona fursa ya kwenda kwa Sir Ngoma(Mganga) baada ya kuona fursa kwa rafiki yangu mkubwa tena wa karibu sana Bw. Likudi na amenishauri hili baada ya kuongea nae mambo mengi na siri ya mafanikio yake toka akiwa na umri wa miaka 18 alipokuja Dar kutoka Songea.
Baada ya maongezi hayo na siri yake ya mafanikio akanieleza lazima nipite njia hii(Uchawi) sasa katika huo uchawi kanishauri lazima nichukue maamuzi magumu(Kuua), kanishauri ili nifanikiwe haraka lazima nipite hapo ili nifikie alipo yeye. Amenishauri nimtoe kafara mzazi wangu mmoja 7bu mimi sijafanikiwa kuwa na mtoto ingekuwa suluhisho sahihi badala ya mzazi wangu. Kanishauri niandae pesa kidogo ili anipeleke huko ambako yeye ndio alikopatia mafanikio yake. Sasa kaniambia niandae pesa kidogo ili anipeleke (Ngende-Masasi) kwa ajili ya kuanza safari ya matumaini ya kuishi pasi na shaka juu ya kumiliki Pesa Magari na Nyumba mzuri.
Sasa kwa mtazamo wangu kiukweli nimemuelewa vzr sana na ningehitaji kufanya hivyo kwani hakuna namna kwa umri huu wa miaka 28+ na sijui kesho yngu elimu imenipiga chenga niliachia class 6 tu.
Mwisho kwa mawazo yenu na maoni yenu machache je naweza kufanikiwa bila kupata shida kwa mliowahi kupita huku? Najua wapo hapa waliopitia huku na hata kama ndg yako najua wajua huku amepita pia.
Nimekuwa natafuta maisha mazuri ila hawezekani kwa nyakati hizi kutokana na ari kuwa ngumu kote kote kwa sisi Viben10 sasa na hata wasio kama sisi, naombeni ushauri juu ya jambo hili;
Jana nimepata kuiona fursa ya kwenda kwa Sir Ngoma(Mganga) baada ya kuona fursa kwa rafiki yangu mkubwa tena wa karibu sana Bw. Likudi na amenishauri hili baada ya kuongea nae mambo mengi na siri ya mafanikio yake toka akiwa na umri wa miaka 18 alipokuja Dar kutoka Songea.
Baada ya maongezi hayo na siri yake ya mafanikio akanieleza lazima nipite njia hii(Uchawi) sasa katika huo uchawi kanishauri lazima nichukue maamuzi magumu(Kuua), kanishauri ili nifanikiwe haraka lazima nipite hapo ili nifikie alipo yeye. Amenishauri nimtoe kafara mzazi wangu mmoja 7bu mimi sijafanikiwa kuwa na mtoto ingekuwa suluhisho sahihi badala ya mzazi wangu. Kanishauri niandae pesa kidogo ili anipeleke huko ambako yeye ndio alikopatia mafanikio yake. Sasa kaniambia niandae pesa kidogo ili anipeleke (Ngende-Masasi) kwa ajili ya kuanza safari ya matumaini ya kuishi pasi na shaka juu ya kumiliki Pesa Magari na Nyumba mzuri.
Sasa kwa mtazamo wangu kiukweli nimemuelewa vzr sana na ningehitaji kufanya hivyo kwani hakuna namna kwa umri huu wa miaka 28+ na sijui kesho yngu elimu imenipiga chenga niliachia class 6 tu.
Mwisho kwa mawazo yenu na maoni yenu machache je naweza kufanikiwa bila kupata shida kwa mliowahi kupita huku? Najua wapo hapa waliopitia huku na hata kama ndg yako najua wajua huku amepita pia.
AiseeeMimi Pia Hayo Mafanikio Niliyatafuta Sana, Tena Sana. Nilienda Mpaka Pemba! Sijafanikiwa Kuyapata!
Ukienda Huko, Na Ukafanikiwa, Mkuu Tafadhali Utupe Mrejesho, Nitahitaji Kwenda Huko Pia.
hahaaa nitakutafuta aiseeHuna haja ya kumtoa sijui nani ili ufanikiwe
Njoo nikupeleke tunduma kwenye utajiri wa punje ila maisha yako yatategemea idadi ya punje kuku atakazokula!
Utakuwa na uwezo wa kunywa chai south afrika lunch usa na dina denmark
Chaguo ni lako!
hahaaaMimi nakushauri ili upate mafanikio ya haraka na makubwa zaidi kuliko yeye usiue mzazi wako mmoja tu bali ua wote na watoto wote ua hata mke ua ili uwe tajiri wa haraka zaidi kumzidi hata Bakheresa. mwana mtoka pabaya wewe!
bongo flava ( vijana ) wengi huwaza kama Wewe mwisho huishia kuingiliwa kinyume na maumbile au kuwa marioooo hasa magomeni,sinza,kinindoniNimekuwa natafuta maisha mazuri ila hawezekani kwa nyakati hizi kutokana na ari kuwa ngumu kote kote kwa sisi Viben10 sasa na hata wasio kama sisi, naombeni ushauri juu ya jambo hili;
Jana nimepata kuiona fursa ya kwenda kwa Sir Ngoma(Mganga) baada ya kuona fursa kwa rafiki yangu mkubwa tena wa karibu sana Bw. Likudi na amenishauri hili baada ya kuongea nae mambo mengi na siri ya mafanikio yake toka akiwa na umri wa miaka 18 alipokuja Dar kutoka Songea.
Baada ya maongezi hayo na siri yake ya mafanikio akanieleza lazima nipite njia hii(Uchawi) sasa katika huo uchawi kanishauri lazima nichukue maamuzi magumu(Kuua), kanishauri ili nifanikiwe haraka lazima nipite hapo ili nifikie alipo yeye. Amenishauri nimtoe kafara mzazi wangu mmoja 7bu mimi sijafanikiwa kuwa na mtoto ingekuwa suluhisho sahihi badala ya mzazi wangu. Kanishauri niandae pesa kidogo ili anipeleke huko ambako yeye ndio alikopatia mafanikio yake. Sasa kaniambia niandae pesa kidogo ili anipeleke (Ngende-Masasi) kwa ajili ya kuanza safari ya matumaini ya kuishi pasi na shaka juu ya kumiliki Pesa Magari na Nyumba mzuri.
Sasa kwa mtazamo wangu kiukweli nimemuelewa vzr sana na ningehitaji kufanya hivyo kwani hakuna namna kwa umri huu wa miaka 28+ na sijui kesho yngu elimu imenipiga chenga niliachia class 6 tu.
Mwisho kwa mawazo yenu na maoni yenu machache je naweza kufanikiwa bila kupata shida kwa mliowahi kupita huku? Najua wapo hapa waliopitia huku na hata kama ndg yako najua wajua huku amepita pia.
RealMaisha tunayoishi yanaongozwa na principles na laws (Universal Laws) cha kukushauri tu hapo ni kuwa hakuna shortcut kwenye maisha always SHORTCUT IS WRONG CUT
Nasikia kuna tajiri wa mabasi ya mikoani alimroga kuku akala punje nyingi kuliko kawaida,mpaka leo jamaa bado lipo hai aisee.Huna haja ya kumtoa sijui nani ili ufanikiwe
Njoo nikupeleke tunduma kwenye utajiri wa punje ila maisha yako yatategemea idadi ya punje kuku atakazokula!
Utakuwa na uwezo wa kunywa chai south afrika lunch usa na dina denmark
Chaguo ni lako!