Ramthods
JF-Expert Member
- Jun 2, 2009
- 515
- 187
Wakuu,
Nahitaji land surveyor kwa ajili ya kupima kiwanja changu maeneo ya Tangi bovu, mbezi beach.
Nimejaribu land surveyor wawili, ila sikuwapenda kwa kuwa hawakuwa makini na pia ni waswahili waswahili sana.
Kama unamfamfaham surveyor mzuri, ni PM namba yake.
Thanks,
Ram
Nahitaji land surveyor kwa ajili ya kupima kiwanja changu maeneo ya Tangi bovu, mbezi beach.
Nimejaribu land surveyor wawili, ila sikuwapenda kwa kuwa hawakuwa makini na pia ni waswahili waswahili sana.
Kama unamfamfaham surveyor mzuri, ni PM namba yake.
Thanks,
Ram