Nahitaji Land Surveyor

Nahitaji Land Surveyor

Ramthods

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2009
Posts
515
Reaction score
187
Wakuu,

Nahitaji land surveyor kwa ajili ya kupima kiwanja changu maeneo ya Tangi bovu, mbezi beach.

Nimejaribu land surveyor wawili, ila sikuwapenda kwa kuwa hawakuwa makini na pia ni waswahili waswahili sana.

Kama unamfamfaham surveyor mzuri, ni PM namba yake.

Thanks,

Ram
 
EXACTLY I HAVE THE SAME PROBLEM.... Nadhani yawezekana ni huluka yao ? ? ? mimi pia nimejaribu mmoja ana lugha za kitapeli hauko serious na kazi, kauli na hata hana commitment,,,, TAFADHALI KWA YEYOTE ATAKAYE WAHI KUPATA TUPEANE TAARIFA MKUU.. mm kiwanja kipo maeneo ya sala sala.
 
Sijui kwa nini wanakuwa hivyo..wengi ni product ya ardhi university..i knw a lot of zem ila huyu anahofu ya Mungu anaweza kuwa surveyor mzuri sio tapeli 0719736871 jina steve.

Lakini niwakumbushe kuwa bei ya upimaji kwa kweli iko juu mno,ela haiishii kwa surveyor ila mfumo ambao serikali imeweka hadi mtu apate hati ni kandamiz kwa wanyonge.

Isije ikawa mnatajiwa bei kubwa mnaona utapeli.
 
Sijui kwa nini wanakuwa hivyo..wengi ni product ya ardhi university..i knw a lot of zem ila huyu anahofu ya Mungu anaweza kuwa surveyor mzuri sio tapeli 0719736871 jina steve.lakini niwakumbushe kuwa bei ya upimaji kwa kweli iko juu mno,ela haiishii kwa surveyor ila mfumo ambao serikali imeweka hadi mtu apate hati ni kandamiz kwa wanyonge.isije ikawa mnatajiwa bei kubwa mnaona utapeli.

Thanks mkuu!
 
Sijui kwa nini wanakuwa hivyo..wengi ni product ya ardhi university..i knw a lot of zem ila huyu anahofu ya Mungu anaweza kuwa surveyor mzuri sio tapeli 0719736871 jina steve.lakini niwakumbushe kuwa bei ya upimaji kwa kweli iko juu mno,ela haiishii kwa surveyor ila mfumo ambao serikali imeweka hadi mtu apate hati ni kandamiz kwa wanyonge.isije ikawa mnatajiwa bei kubwa mnaona utapeli.

Thanx mkuu, hata mimi ninampango kama wa jamaa hapo juu. Nimempigia muhusika na ana-sound mtu fresh hana matatizo. Nilimbana kumuuliza itanicost how much kupima na kumaliza kila kitu akawa anasema siwezi kukuambia chochote mpaka nione eneo lenyewe.

Nikazidi kumbana akaona tu nina kihere here bora aniambie. Kiwanja cha medium density, cha kwangu, akaniambia bei itaweza ku-range kuanzia milioni moja kwenda juu. Ni baada ya kumjibu swali lake la je karibu na hapo kuna surveyed plots (of which ni zipo, in ma case)

Nikamuuliza ndani ya muda gani napata makaratasi aksema ukiwa na hela yako mambo yanaweza kwenda haraka si unajua process za SEREKALINI zinvyokua.

Any ways maelezo yangu yanaweza yakawa bla bla kwa kua namba ipo hapo juu, lakini ningependa wanajf tuwe na utaratibu wa kuleta feedback (mlishonyuma) wa vitu tunavyofaidika navyo haswa chanzo kikiwa jf.

Asanteen
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom