Natafuta Surveyor

Natafuta Surveyor

Mahorii

Member
Joined
Jan 26, 2014
Posts
99
Reaction score
115
Habari Wakuu,

Kuna kiwanja nataka kununua, nahitaji surveyor kwenda kukipima kiwanja changu ambacho kina ukubwa wa heka moja na nusu kwa makisio, ila nataka kipimwe kitaalamu.

Ningependa kupata mtu ambaye ni professional ili tuweze kupata legal documents baada ya kupima.

Asante.
 
Labda hapo kwenye documents ndio unamuhitaji huyo surveyor, ila kama suala ni kupima tu, haswa kama eneo liko , hata wewe unaweza kupima
 
Back
Top Bottom