Vishu Mtata
JF-Expert Member
- Dec 15, 2019
- 10,996
- 22,714
First year wakati naishi home nilikua kibonge balaa, ratiba ilikua asubuhi napiga chai na vitumbua/chapati au kipolo cha wali.
Mchana nikiwa chuo napiga wali nyama na juice ama soda. Usiku kabla sijaenda home napitia bar napiga beer 3 au 4 ndo naenda home ambako nako napiga menu nzito usiku, hapo ni saa 4 au 5 hivi then nalala.
Ni siku chache ratiba inachange ila ilikua hivyo, aisee nilikua kibonge hatari.
Nikahamia geto, kipindi cha msoto formula ilikua 101 au 011 nikifeli kabisa ni 001 au 010. Nilipungua mpaka wakahisi natumia unga au bangi.
Tunanenepa kwa kulakula hovyo (mfumo mbaya wa chakula).
Na pia kazi unayofanya huenda hailingani na menyu unayopiga kila siku.
Mtu unakula misosi mitatu yote heavy, morn umepiga supu, mchana nyama choma na chipsi jioni dona na harage au wali wa kushiba na hadage wakati kazi ni kukaa ofisini tu.
Mazoezi hufanyi au unafanya ukiwa umejilaza kitandani.
Pole sana jamaa, zingatia mlo na mazoezi.
Mchana nikiwa chuo napiga wali nyama na juice ama soda. Usiku kabla sijaenda home napitia bar napiga beer 3 au 4 ndo naenda home ambako nako napiga menu nzito usiku, hapo ni saa 4 au 5 hivi then nalala.
Ni siku chache ratiba inachange ila ilikua hivyo, aisee nilikua kibonge hatari.
Nikahamia geto, kipindi cha msoto formula ilikua 101 au 011 nikifeli kabisa ni 001 au 010. Nilipungua mpaka wakahisi natumia unga au bangi.
Tunanenepa kwa kulakula hovyo (mfumo mbaya wa chakula).
Na pia kazi unayofanya huenda hailingani na menyu unayopiga kila siku.
Mtu unakula misosi mitatu yote heavy, morn umepiga supu, mchana nyama choma na chipsi jioni dona na harage au wali wa kushiba na hadage wakati kazi ni kukaa ofisini tu.
Mazoezi hufanyi au unafanya ukiwa umejilaza kitandani.
Pole sana jamaa, zingatia mlo na mazoezi.