Nahitaji kupungua Mwili/ Kilo. Naumia sana

First year wakati naishi home nilikua kibonge balaa, ratiba ilikua asubuhi napiga chai na vitumbua/chapati au kipolo cha wali.

Mchana nikiwa chuo napiga wali nyama na juice ama soda. Usiku kabla sijaenda home napitia bar napiga beer 3 au 4 ndo naenda home ambako nako napiga menu nzito usiku, hapo ni saa 4 au 5 hivi then nalala.

Ni siku chache ratiba inachange ila ilikua hivyo, aisee nilikua kibonge hatari.

Nikahamia geto, kipindi cha msoto formula ilikua 101 au 011 nikifeli kabisa ni 001 au 010. Nilipungua mpaka wakahisi natumia unga au bangi.

Tunanenepa kwa kulakula hovyo (mfumo mbaya wa chakula).
Na pia kazi unayofanya huenda hailingani na menyu unayopiga kila siku.

Mtu unakula misosi mitatu yote heavy, morn umepiga supu, mchana nyama choma na chipsi jioni dona na harage au wali wa kushiba na hadage wakati kazi ni kukaa ofisini tu.
Mazoezi hufanyi au unafanya ukiwa umejilaza kitandani.

Pole sana jamaa, zingatia mlo na mazoezi.
 
Fanya fasting ya miezi miwili unstoppable muda wa kufungua uwe una kunywa uji na matunda tu.

Usile chakula chochote unapufungua zaidi ya hivyo nilivyokutajia.

Halafu kila siku asubuhi na jioni piga pushups 50 pair, yani kwa siku uwe unajumla ya pushups 100

Hapo utapungua fasta sana
 
Khabari zenu...

Nimekuwa mtu wa kujisikia vibaya sana nikiuangalia mwili wangu...Mimi ni kijana wa miaka 28 Nina kilo 93...

Nimenenepa Sana Nina kilo nisizozipenda, nimetumia mbinu ya mazoezi Ila nahisi kushindwa cuz Ratiba za kujitafutia Riziki Zinabana...Natamani Nipungue Nifike hata kilo 75...

Mwili Unanifanya nikivaa Sipendezi kabisaa, Shepu mbaya Nina umbo la Kiazi Sieleweki...Kitambi kikubwa...

Kuna jamaa yangu aliwahi nambia ili nipungue kwa haraka niwe nakunywa KONYAGI na nivute BANG$ ila nimefanya hivyo hakuna matokeo yoyote zaidi ya kujiumiza kuwa mlevi tu(Nimeacha)

Mwili nadhani unafanya mpk nikiwa na mpenzi wangu kitandani Simfikishi maana dakika 2 tu nishakojoa... Naumia na Hii hali Naombeni mbinu Jamani najua kuna watu humu walikuwa kama mie au zaidi ya mie...

Kitambi ninacho, nina maziwa makubwamakubwa Yani aibu siipendii hii hali naumia sana...

Miaka kadhaaa nyuma nilikuwa kawaida tu Sikuwa kama sasa ila nashangaa nazidi kufumuka mwili Yani mpk nakuwa na kibamia...

Uzi na picha....View attachment 2646189
Nilipokuwa na kilo 91 nilianza kupata magonjwa ya kuumwa miguu na kushindwa hata kufunga kamba za viatu. Usiku nililala kwa shida.

Nilikuwa nafanya mazoezi ya kutembea au kukimbia kilometer 6 kila siku lakini ndio nilizidi kuongezeka. Nikagundua kuwa mazoezi hayasaidii mwili kupungua na kweli hayasaidii!

Niligundua kitu kimoja tu kinamfanya mtu aongezeke au apungue zito: CHAKULA.

Nilihama kule nilipokuwa na life style mbaya ya kula vyakula vyenye mafuta mengi, chumvi nyingi, peanut butter, nyama nyingi na bia. Nikakaa kijijini nikawa nakula vyakula vya asili ndizi, ugali maharage, mchicha, wali, makande na vyote hivyo vikiwa na mafuta kidogo.

Ilichukua miezi 2 kutoka kilo 92 hadi kilo 80! Suluhisho sio kitu kingine ni CHAKULA!

Achana na nyama nyingi hasa zenye mafuta

Acha siagi, peanut butter etc

Acha vyakula vyenye sukari nyingi

Acha kuweka mafuta mengi kwenye chakula

Acha kula sana hasa vyakula vyenye wanga

Acha kula vyakula vilivyokobolewa kama mchele au sembe

Acha soda na bia.

Acha kula zaidi ya mara mbili kwa siku.

Dawa ni hiyo tu miezi 2 utakuwa 75-80kg ambayo ni nzuri kwa shepu na afya kwa ujumla. Na hata ndoa itaimarika.
 
Khabari zenu,

Nimekuwa mtu wa kujisikia vibaya sana nikiuangalia mwili wangu. Mimi ni kijana wa miaka 28, nina kilo 93.

Nimenenepa sana. Nina kilo nisizozipenda, nimetumia mbinu ya mazoezi Ila nahisi kushindwa cuz ratiba za kujitafutia ridhiki zinabana. Natamani Nipungue nifikie hata kilo 75.

Mwili unanifanya nikivaa sipendezi kabisaa. Shepu mbaya, nina umbo la Kiazi sieleweki. Kitambi kikubwa.

Kuna jamaa yangu aliwahi nambia ili nipungue kwa haraka niwe nakunywa konyagi na nivute bangi ila nimefanya hivyo hakuna matokeo yoyote zaidi ya kujiumiza kuwa mlevi tu (Nimeacha).

Mwili nadhani unafanya mpaka nikiwa na mpenzi wangu kitandani simfikishi maana dakika 2 tu nishakojoa. Naumia na hii hali. Naombeni mbinu jamani, najua kuna watu humu walikuwa kama mie au zaidi ya mie.

Kitambi ninacho, nina maziwa makubwamakubwa yaani aibu siipendii hii hali naumia sana.

Miaka kadhaaa nyuma nilikuwa kawaida tu. Sikuwa kama sasa ila nashangaa nazidi kufumuka mwili yaani mpaka nakuwa na kibamia.

Uzi na picha.

View attachment 2646189
Pole man!

Gta SASA kazi kwako!!

Agiza Tabora asali mbichi ndoo ya lita kumi au lita tano!

Chemsha maji ya moto au chai kama ni chai usiweke sukari!

KILA siku asubuhi na jioni weka vijiko vitatu au viwili kwenye maji Moto au chair YAKO isiyo na sukari koroga kunywa,

Jioni kunywa baada ya kula kiasi usile kupita kiasi HALAFU kunywa SASA mchanganyiko huo,asubuhi kunywa kabla ya kuswaki na kula chochote piga Kikombe kimoja kikubwa cha nusu lita au viwili vitatu vya KAWAIDA!kunywa KWA uwezo wako!!

Utaharisha mwanzoni,baadae utazoea na tumbo litaisha KABISA!UTAKUA normal!ukihisi kuu kunywa maji baridi kama kawa!!!!
 
Hahaha!. Dawa ya uhakika ya kupunguza kitambi ni kupunguza kiwango na aina ya vyakula na vinywaji.

Mazoezi pia yanasaidia sana lakini uwe na commitment nayo. Ukiacha tu unafutuka zaidi ya awali.

Angetuambia ratiba yake ya chakula na aina tungemuambia apunguze nini. Ila vyakula vya wanga vinaongeza sana uzito. Matumizi ya vinywaji vya sukari (soda), vivyo hivyo.

Matumizi ya bangi na vilevi ndo vibaya zaidi. Bia zina kiwango kikubwa cha wanga. Ukinywa tu, kilo hizo.
Aachane kabisa na matumizi ya bangi na pombe. Kamwe havitapunguza uzito. Labda baada ya kuugua, kilo zitapungua.
Ebu tueleze bangi inashida gani katika hayo uliyoyataja mkuu, unaionea bure tu.
 
Acha kula wanga aina zote (wali, ugali, chapati, maandazi, vitumbua, mihogo, viazi, chipsi, sambusa etc). In short vitu vyote vinavyotokana na ngano, sembe au grains
Acha kula sukari (usitumie sukari kwenye chai au maziwa.)
Acha kunywa pombe, soda, energy drinks, juice etc. Kunywa maji tu.
Usivute sigara
Ukifanya haya ndani ya wiki utakuwa na kilo 70.
Kinachounenepesha mwili ni wanga na sukari. Mwili wa binadamu haukuumbwa kutumia wanga. Ndio maana ukila wanga insulin inazalishwa kwenda kuitoa sukari ile kwenye damu na kuibadilisha kuwa mafuta.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama mpka umeamua kutuwekea snapushoti ya manyonyo, kweli yamekufika kooni.
Subiri wataalam zaidi waje.
Ushauri wangu simple, jaribu intermittent fasting, wiki 2 za mwanzo itakua ngum but after that ni ushindi tu. Na pia utapungua tarratibu kistaarabu.
Ukishindwa, then temana na wanga 100% ili mwili uchome mafuta yote fasta.
Yani yamenifika kweli..
 
Anza kwa kuangalia menu yako kisha mazoezi

Japo kuna wale unene upo tu kwenye koo na family zao
Kama na wewe kwenye uzazi wenu mpo hivyo wanene option iliyopo ni kujikubali
Kuna wengine Genetics zinatembea kizazi hadi kizazi
 
Acha kula wanga aina zote (wali, ugali, chapati, maandazi, vitumbua, mihogo, viazi, chipsi, sambusa etc). In short vitu vyote vinavyotokana na ngano, sembe au grains
Acha kula sukari (usitumie sukari kwenye chai au maziwa.)
Acha kunywa pombe, soda, energy drinks, juice etc. Kunywa maji tu.
Usivute sigara
Ukifanya haya ndani ya wiki utakuwa na kilo 70.
Kinachounenepesha mwili ni wanga na sukari. Mwili wa binadamu haukuumbwa kutumia wanga. Ndio maana ukila wanga insulin inazalishwa kwenda kuitoa sukari ile kwenye damu na kuibadilisha kuwa mafuta.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nitafanya ivi kaka nitakupa mrejesh0...
 
First year wakati naishi home nilikua kibonge balaa, ratiba ilikua asubuhi napiga chai na vitumbua/chapati au kipolo cha wali.

Mchana nikiwa chuo napiga wali nyama na juice ama soda. Usiku kabla sijaenda home napitia bar napiga beer 3 au 4 ndo naenda home ambako nako napiga menu nzito usiku, hapo ni saa 4 au 5 hivi then nalala.

Ni siku chache ratiba inachange ila ilikua hivyo, aisee nilikua kibonge hatari.

Nikahamia geto, kipindi cha msoto formula ilikua 101 au 011 nikifeli kabisa ni 001 au 010. Nilipungua mpaka wakahisi natumia unga au bangi.

Tunanenepa kwa kulakula hovyo (mfumo mbaya wa chakula).
Na pia kazi unayofanya huenda hailingani na menyu unayopiga kila siku.

Mtu unakula misosi mitatu yote heavy, morn umepiga supu, mchana nyama choma na chipsi jioni dona na harage au wali wa kushiba na hadage wakati kazi ni kukaa ofisini tu.
Mazoezi hufanyi au unafanya ukiwa umejilaza kitandani.

Pole sana jamaa, zingatia mlo na mazoezi.
Na kadri unavyonenepa na hamu ya kupenda kulakula inaongezeka
 
Back
Top Bottom