Nahitaji kununua Email Account za gmail 20

zeebaba

Senior Member
Apr 17, 2018
180
211
Kama topic inavyojieleza hapo juu nahitaji email account 20 za kutoka gmail kwa sasa kwa matumizi yangu binafsi ya project nayoifanya kila email moja nitanunua kwa Tsh.500 malipo utapokea kwa njia ya simu.

Masharti.
1.Account iwe ishakuwa verified kwa maana ya simu, account inaweza kuwa mpya au ya zamani.

2.Utaitoa namba ya simu iliyotumika kuverify account na kuweka recovery email potizone@gmail.com halafu na kubadili password ya email na kuweka hii ili niweze kulog in kwa urahisi. password weka G#sasa@2022

3.Kwa email mpya tumia majina kutoka mataifa ya ulaya au Marekani itapendeza zaidi kwa zile zilizokuwa tayari haina haja.

4.Ukikamilisha yote hapo juu njoo inbox na email yako nitalog in kwanza kujilizisha utatuma pia namba yako ya simu itakayopokea pesa yako.

Project ni endelevu hivyo kwa sasa naanza na emails 20.
 
Kama topic inavyojieleza hapo juu nahitaji email account 20 za kutoka gmail kwa sasa kwa matumizi yangu binafsi ya project nayoifanya kila email moja nitanunua kwa Tsh.500 malipo utapokea kwa njia ya simu.

Masharti.
1.Account iwe ishakuwa verified kwa maana ya simu, account inaweza kuwa mpya au ya zamani.

2.Utaitoa namba ya simu iliyotumika kuverify account na kuweka recovery email potizone@gmail.com halafu na kubadili password ya email na kuweka hii ili niweze kulog in kwa urahisi. password weka G#sasa@2022

3.Kwa email mpya tumia majina kutoka mataifa ya ulaya au Marekani itapendeza zaidi kwa zile zilizokuwa tayari haina haja.

4.Ukikamilisha yote hapo juu njoo inbox na email yako nitalog in kwanza kujilizisha utatuma pia namba yako ya simu itakayopokea pesa yako.

Project ni endelevu hivyo kwa sasa naanza na emails 20.
Mi acha nikutengenezee hamsini ila NIINGIZE KICHWA TU, vp?
 
Back
Top Bottom