Nahitaji kununua ac za facebook

Nahitaji kununua ac za facebook

mishe bwoy

Senior Member
Joined
Oct 26, 2014
Posts
116
Reaction score
34
wakuu..najua kuna watu wana ac mingi za facebook na hawaihitaji kuzitumia zipo tu random..Kiukweli nina shida na ac za facebook kwa ajili ya kufanyia kazi zangu za kushare habari zangu za blog na sio nia nyingine..
Kwa nini nisifungue menyewe mpya?????

Facebook kwa sasa ukifungua ac mpya na ukaanza kufanyia kazi ya kushare habari ndani ya siku 3 ac inafutwa kabisaaa inakuwa disabled wala sio blocked..disabled that means hutaweza itumia tena..So ac zilizokaa kuanzia miezi 4 ndio zinafaa kufanyia kazi...

SO KAMA UNA AC YA FACEBOOK AMABYO HUITUMII NI PM HATUTASHINDWANA
 
Ninayo eijaitumia tangu2009,but nahisi hela yako haita nilipa.
 
Bro mi nilikuwa na account ya facebook ya tangu 2009,nikawa na share habari za blog na bado wakaifungia.
 
wakuu..najua kuna watu wana ac mingi za facebook na hawaihitaji kuzitumia zipo tu random..Kiukweli nina shida na ac za facebook kwa ajili ya kufanyia kazi zangu za kushare habari zangu za blog na sio nia nyingine..
Kwa nini nisifungue menyewe mpya?????

Facebook kwa sasa ukifungua ac mpya na ukaanza kufanyia kazi ya kushare habari ndani ya siku 3 ac inafutwa kabisaaa inakuwa disabled wala sio blocked..disabled that means hutaweza itumia tena..So ac zilizokaa kuanzia miezi 4 ndio zinafaa kufanyia kazi...

SO KAMA UNA AC YA FACEBOOK AMABYO HUITUMII NI PM HATUTASHINDWANA

nina ac ya mda mrefu sana fb na suitumii zaidi ya kupekulia udaku
 
sasa kwanini usifungue page tu? na hio hela ya kununulia acount fb si bora uwape hao fb watakufanyia promo?
Kuadvertise page sio mchezo ili isisimae unatakiwa uwe na page budget yako isipungue 1million..hapo unapata likes 70k+
 
wakuu..najua kuna watu wana ac mingi za facebook na hawaihitaji kuzitumia zipo tu random..Kiukweli nina shida na ac za facebook kwa ajili ya kufanyia kazi zangu za kushare habari zangu za blog na sio nia nyingine..
Kwa nini nisifungue menyewe mpya?????

Facebook kwa sasa ukifungua ac mpya na ukaanza kufanyia kazi ya kushare habari ndani ya siku 3 ac inafutwa kabisaaa inakuwa disabled wala sio blocked..disabled that means hutaweza itumia tena..So ac zilizokaa kuanzia miezi 4 ndio zinafaa kufanyia kazi...

SO KAMA UNA AC YA FACEBOOK AMABYO HUITUMII NI PM HATUTASHINDWANA

Tangaza dau kwanza mkuu
 
Back
Top Bottom