Ndugu yangu unasema hujawahi onja, umejuaje kwamba ukinywa utalala fofofo??????Sijawai kudrink
but leo naitaji kulewa ili nilale fofofo
kwa wale wadau pombe ipi ni nzuri?
Sijawai kudrink
but leo naitaji kulewa ili nilale fofofo
kwa wale wadau pombe ipi ni nzuri?
kunywa chibuku vibuyu 2.Sijawai kudrink
but leo naitaji kulewa ili nilale fofofo
kwa wale wadau pombe ipi ni nzuri?
Mbona unamtisha mwenzio, acha aone mwanga ulio boraNakuomba usijaribu tafadhali. Ukipuuzia ushauri huu utakuja juta.
viroba navo vinatumikajeanza na redds,mbili za baridi ila uzinywe taratibu kama hutaki au kama umeshiba
kisha malizia na wine, red sweet wine pia iwe ya baridi au weka ice cubes. U can use dompo au altar, hope u'll enjoy. This is according to me usianze na vinywaji vikali hivi vitakupa raha flani ya utamu wakati unakunywa hasa kama hujazoea ladha ya uchungu ya pombe. Ila andaa supu ya nyama au samaki asubuhi.
Wine waweza kunywa nusu chupa au glass 3 tuu za wine baada ya hapo utakuwa byee au waweza hata usizimalize.
Usiache kutupa feedback, have a nice time na enjoy!!!!
Sawa, na hapa JF wasome wanavyokuambia kisha utaamua, mie hulala fofofo pia bila hata kunywa, nakutakia week end njema.kuna mtu kaniambia
Sijawai kudrink
but leo naitaji kulewa ili nilale fofofo
kwa wale wadau pombe ipi ni nzuri?
mi sijui niambie yoyote ile yenye matokeo mazuri
viroba navo vinatumikaje
au unaweza ukajaribu JACK DONELL lakini ni lazma uinywe ukiwa umelala kwa sababu za kiafya.nitakunywa home,room kabisa..nipe formula