Mm ni mfugaji wa kuku wa kienyeji na mbegu nilizonazo ni nzuri namb yangu ni 0712 419 419 karibu sn
Napatikana temeke tetea nauza elfu 10 kwa kuku m 1 hadi 12 kufatana na ukubwa wa kuku majogoo nauza 20 had 25 mbegu ya Australia karibu sana
Wakuu ninashida ya kuku wa kienyeji pure ambao wamebakiza kama mwezi au wiki tatu waanze kutaga...nahitaji mitetea kama 100.....natanguliza shukrani,,,,,
mm ninao kuchi jogoo la miezi Miwili na nusu nauza elfu60 na tetea wake elfu50 km upo tayari 0712400460 nicheki