GIRITA
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 4,134
- 5,244
Habari wafanyabiashara wa humu jukwaani.
Moja kwa moja kwenye mada.
Wanauzwa kuku wa Kienyeji wapo takriban 30, wenye afya njema kwabisa Ni wakubwa,wenye uzito na ujazo,utakaokuvutia wewe mnunuaji.
Kuku hao wote wanauzwa kwa kila mmoja shilingi elfu kumi na sita tu...16,000/-
Kuku Hawa Ni mchanganyiko wa majike na madume(jogoo)...Tunawauza wote kwa pamoja kwani tunahitaji pesa kwa ajili ya kukidhi nahitaji mengine.
Kwa watu wa hotel,wachoma chips,watu wa tender za chakula katika shughuli mbali mbali mnakaribishwa Sana.🙏🙏🙏🙏
Tunapatikana Mwanza mjini.
Nawasiliano: 0768195006.
Moja kwa moja kwenye mada.
Wanauzwa kuku wa Kienyeji wapo takriban 30, wenye afya njema kwabisa Ni wakubwa,wenye uzito na ujazo,utakaokuvutia wewe mnunuaji.
Kuku hao wote wanauzwa kwa kila mmoja shilingi elfu kumi na sita tu...16,000/-
Kuku Hawa Ni mchanganyiko wa majike na madume(jogoo)...Tunawauza wote kwa pamoja kwani tunahitaji pesa kwa ajili ya kukidhi nahitaji mengine.
Kwa watu wa hotel,wachoma chips,watu wa tender za chakula katika shughuli mbali mbali mnakaribishwa Sana.🙏🙏🙏🙏
Tunapatikana Mwanza mjini.
Nawasiliano: 0768195006.