rasta got soul
JF-Expert Member
- Dec 16, 2015
- 234
- 114
Kwa mawazo hayo unakaribia kushitakiwa na jamuhuri ya muungano wa tanzania kwa sera yao mpya ya sheria ya mitandao.. (cyber crime)
Hizo terms hazifanani jombaa usiweke slash / maana hack ni verb hacker ni mtendaji na hacking ni process ya kudukua
Nashindwa kurelate hii statement yako na dhana nzima ya Kuhack,yani ukiwa unaswitch between zile virtual 3d open windows ndo unakuwa unahack ama nini?Pale hollywood wanasemaga the Rule of Cool must always overwrite reality hii hutumika kuongeza mauzo ya tickets na ndo hapo hata ile movie ya master minds hacking ikageuka kuwa some sort of game !! Seriously mtu aliekuwa na ndoto za hacking angefikiri ni kazi rahisi na hasa pale wanapohack kwa kutumia os zenye 3d GUI kama ile ya windows vista flip 3d
Kuna utofauti mkubwa kati ya Cracker na Hacker,,Mleta mada anaitaji kujuzwa jinsi ya kua hacker na sio crackerKwa mawazo hayo unakaribia kushitakiwa na jamuhuri ya muungano wa tanzania kwa sera yao mpya ya sheria ya mitandao.. (cyber crime)
Duh haya bwana naona nmekukaa sana kichwani, all in all jamani watu mnaotaka kuwa hackers a.ka. wadukuaji, it is illegal kufanya hivi vitendo na wala siwapotoshi maana sheria za cyber crime zipo mwaweza kuzipitiaNimeandika vile sababu kwenye post yako ulitumia terms zote,na kiujumla hazikua sahihi ni real life perspectives!kumbuka movie ni movie na sidhani kama mleta mada anataka kuwa 'hacker kama wa kwenye movie'.
Nashindwa kurelate hii statement yako na dhana nzima ya Kuhack,yani ukiwa unaswitch between zile virtual 3d open windows ndo unakuwa unahack ama nini?
Ndo maana nikakuuliza unajua nini kuhusu hacking,sina maana mbaya na pia sina maana unatakiwa uwe hackin guru kunijibu hili swali,inawezekana unaitaji kujuzwa kama mleta mada na sio kujuza!
nani aliekwambia hacking ni kosa kisheriaKwa mawazo hayo unakaribia kushitakiwa na jamuhuri ya muungano wa tanzania kwa sera yao mpya ya sheria ya mitandao.. (cyber crime)
Acha kudanganya hack anatumia week? anajifunzia hapo au anafanyaje? wapo ma master wa kuhack haichukui dk 15 kumaliza kazi kawadanganye watoto wadogo eti dk 15 teh tehUmepotosha dhana nzima ya terms "Hack/Hacker/Hacking"!
Labda nikuulize,unaelewa nini kuhusu Hacking??,na unamaanisha nini uliposema "3d GUI interference"
Kuna vitu hadi Leo watu wanaumiza vichwa kuvihack, wiki na miezi imepita, mpaka Leo watu wanatafuta njia ya kuhack system ya kuexploit system za betting, mfano meridian bettingAcha kudanganya hack anatumia week? anajifunzia hapo au anafanyaje? wapo ma master wa kuhack haichukui dk 15 kumaliza kazi kawadanganye watoto wadogo eti dk 15 teh teh
Unamaanisha nini kusema umenikaa sana kichwani?Duh haya bwana naona nmekukaa sana kichwani, all in all jamani watu mnaotaka kuwa hackers a.ka. wadukuaji, it is illegal kufanya hivi vitendo na wala siwapotoshi maana sheria za cyber crime zipo mwaweza kuzipitia
Sijakuelewa kabisa,unamaanisha nini,?"hack anatumia week?" ndo nini,nimeandika wapi?umeona wapi nimeandika ivo vitu hapo juu?yani sijakuelewa kabisa!wapi nimeongelea kuhusu dk 15????Acha kudanganya hack anatumia week? anajifunzia hapo au anafanyaje? wapo ma master wa kuhack haichukui dk 15 kumaliza kazi kawadanganye watoto wadogo eti dk 15 teh teh
Katika programming you are in which language?
Tuanzie hapo
Na ndio maana nlicomment kwamba hao hackers wa movie sometimes wanaongeza chumvi, kuna muvi nmesahau kina kuna hacker aliekuwa anafanya SQL injection kwa kutumia ready made app kwenye 3d GUI,Unamaanisha nini kusema umenikaa sana kichwani?
Umenielewa vibaya,sijamaanisha kwamba maelezo yako yapo sahihi ivo unapotosha kwakusema ukweli,lahasha!namaanisha maelezo yako si yakweli,hayana mantiki na hayapo ni real life,hakuna hacker anayehack on 3d gui environment
Ni kweli kila mtu anaweza kujifunza kuhack, lakini si kila mtu anaweza kuwa hacker!Hacking ni knowledge ambayo mtu yoyote anaweza kujifunza awe tu na Basics knowledge ya computer hardware, Compter networking na Web component development ,pia awe na basics knowlege jinsi Operating systems zinavyofanya kazi,esp. Window na linux . lakini kisheria duniani Hacking ni illegal activities , isipokuwa mtu yoyote anayetaka kujifunza hacking kisheria, anaitwa Ethical hacker ,nchi za wenzetu Mtu yoyote anayetaka kujifunza Ethical hacking lazima .awe screened. Na chuo kinachofundisha lazima kipewe kibari na serikali ili hiyo kozi iweze kufundishwa na chuo hicho . kuna process tano kwenye Hacking process. Kisheria Mwanafunzi anayetaka kujifunza Ethical hacking anafundishwa process tatu tu. hizo mbili zilizoback haurusiwi kisheria. utakapojifunza hizo mbili utakuwa sasa wewe siyo ethical hacker,Na makampuni mengi wanapotatafuta mtu wa kumuajili kama hacker. wanaaminisha wanamtafuta Ethical hacker huyu muda mwingine anaitwa WHITE HACKER .MiMi ni mwalimu wa Ethical Hacking, naweza kukufundishaTools zote na Technics zote za Ethical Hacking. Nipo mbioni kufungua Chuo hapa Dar es salaam. ambacho kitashirikiana na chuo kimojawapo cha marekani nipo kwenye hatua za mwisho ,international procedures tayari nimezimaliza ,kwa sasa natafuta kibari wizara ya mambo ya Ndani, ndiyo nachelewa kukipata. hiki chuo kitakuwa pia ni prometric centre ya Ethical hacker certification . Mwanafuzi atayesoma hapa atapata international Certification.
Aisee!hapa umemaanisha nini exactly?kuna process tano kwenye Hacking process. Kisheria Mwanafunzi anayetaka kujifunza Ethical hacking anafundishwa process tatu tu. hizo mbili zilizoback haurusiwi kisheria. utakapojifunza hizo mbili utakuwa sasa wewe siyo ethical hacker,Na makampuni mengi wanapotatafuta mtu wa kumuajili kama hacker. wanaaminisha wanamtafuta Ethical hacker
Ada yake bei gani nijipangeHacking ni knowledge ambayo mtu yoyote anaweza kujifunza awe tu na Basics knowledge ya computer hardware, Compter networking na Web component development ,pia awe na basics knowlege jinsi Operating systems zinavyofanya kazi,esp. Window na linux . lakini kisheria duniani Hacking ni illegal activities , isipokuwa mtu yoyote anayetaka kujifunza hacking kisheria, anaitwa Ethical hacker ,nchi za wenzetu Mtu yoyote anayetaka kujifunza Ethical hacking lazima .awe screened. Na chuo kinachofundisha lazima kipewe kibari na serikali ili hiyo kozi iweze kufundishwa na chuo hicho . kuna process tano kwenye Hacking process. Kisheria Mwanafunzi anayetaka kujifunza Ethical hacking anafundishwa process tatu tu. hizo mbili zilizoback haurusiwi kisheria. utakapojifunza hizo mbili utakuwa sasa wewe siyo ethical hacker,Na makampuni mengi wanapotatafuta mtu wa kumuajili kama hacker. wanaaminisha wanamtafuta Ethical hacker huyu muda mwingine anaitwa WHITE HACKER .MiMi ni mwalimu wa Ethical Hacking, naweza kukufundishaTools zote na Technics zote za Ethical Hacking. Nipo mbioni kufungua Chuo hapa Dar es salaam. ambacho kitashirikiana na chuo kimojawapo cha marekani nipo kwenye hatua za mwisho ,international procedures tayari nimezimaliza ,kwa sasa natafuta kibari wizara ya mambo ya Ndani, ndiyo nachelewa kukipata. hiki chuo kitakuwa pia ni prometric centre ya Ethical hacker certification . Mwanafuzi atayesoma hapa atapata international Certification.
Nataka niwe mwanafunzi wako wa kwanza, nijibu kwa email rabingowi@hotmail.com au 0767666690,napenda sana legal hacking so interesting pls reply to meHacking ni knowledge ambayo mtu yoyote anaweza kujifunza awe tu na Basics knowledge ya computer hardware, Compter networking na Web component development ,pia awe na basics knowlege jinsi Operating systems zinavyofanya kazi,esp. Window na linux . lakini kisheria duniani Hacking ni illegal activities , isipokuwa mtu yoyote anayetaka kujifunza hacking kisheria, anaitwa Ethical hacker ,nchi za wenzetu Mtu yoyote anayetaka kujifunza Ethical hacking lazima .awe screened. Na chuo kinachofundisha lazima kipewe kibari na serikali ili hiyo kozi iweze kufundishwa na chuo hicho . kuna process tano kwenye Hacking process. Kisheria Mwanafunzi anayetaka kujifunza Ethical hacking anafundishwa process tatu tu. hizo mbili zilizoback haurusiwi kisheria. utakapojifunza hizo mbili utakuwa sasa wewe siyo ethical hacker,Na makampuni mengi wanapotatafuta mtu wa kumuajili kama hacker. wanaaminisha wanamtafuta Ethical hacker huyu muda mwingine anaitwa WHITE HACKER .MiMi ni mwalimu wa Ethical Hacking, naweza kukufundishaTools zote na Technics zote za Ethical Hacking. Nipo mbioni kufungua Chuo hapa Dar es salaam. ambacho kitashirikiana na chuo kimojawapo cha marekani nipo kwenye hatua za mwisho ,international procedures tayari nimezimaliza ,kwa sasa natafuta kibari wizara ya mambo ya Ndani, ndiyo nachelewa kukipata. hiki chuo kitakuwa pia ni prometric centre ya Ethical hacker certification . Mwanafuzi atayesoma hapa atapata international Certification.
Inamaana hadi leo hamna aliofanikiwa kuhack system za betting.Kuna vitu hadi Leo watu wanaumiza vichwa kuvihack, wiki na miezi imepita, mpaka Leo watu wanatafuta njia ya kuhack system ya kuexploit system za betting, mfano meridian betting
suala la uwanafunzi usiwe na wasiwasi muda ukifika nitakutafuta.Nataka niwe mwanafunzi wako wa kwanza, nijibu kwa email rabingowi@hotmail.com au 0767666690,napenda sana legal hacking so interesting pls reply to me
How to contact you sio muda wote ntakuwa jf ,kama unaweza ingia whatsapp tuchat plssuala la uwanafunzi usiwe na wasiwasi muda ukifika nitakutafuta.