Nahitaji kujifunza

Nahitaji kujifunza

de abby

New Member
Joined
Apr 12, 2015
Posts
1
Reaction score
0
naitaji kujifunza black america kwa dar es salaam n wap naweza pata huduma hii..?
 
Braaaaah! hii hudama itakuwa mpya kwa hapa nchini, ni kifurushi cha Vodacom, airtel, Tigo au? Nyoosha kidogo kiswahili usaidiwe!
 
naitaji kujifunza black america kwa dar es salaam n wap naweza pata huduma hii..?


Kama unamaanisha unataka kujifunza lugha ya kizungu (american english) kama inavyozungumzwa na watu weusi wa kawaida wa marekani, itakuwa shida kupata huduma hiyo popote pale duniani. Ni kama mzungu aseme anataka kujifunza kiswahili kama kinavyozungumzwa na mswahili wa kawaida Tanzania. Kuna tofauti ya lafudhi na matumizi ya maneno ukiwa Tanga, Pemba, Unguja, Dar, Songea, Mbeya, Iringa, Mwanza, Bukoba, nk.

Hakuna kitu kama "standard African-American English." Nakushauri nenda kwenye U-Tube usikilize vichekesho (comedy) wanavyofanya wamerikani weusi (Google African-American Comedians) na inaweza kukusaidia kujifunza matumiza na matamshi ya baadhi ya maneno. Comedians wazuri (utakaoweza kuwaelewa kirahisi) wa kuwasikiliza ni kama:


  • Eddie Murphy
  • Richard Prior
  • Bernie Mac
  • Redd Foxx
  • Chris Tucker
  • Katt Williams
  • Steve Harvey
  • Cedric the Entertainer
  • Tracy Morgan
  • Wanda Sykes
  • Mike Epps
  • Eddie Griffin
nk.
 
Back
Top Bottom