Nchi Kavu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 4,271
- 2,401
Ukweli ni kwamba Tecno japo ni simu ya wengi, ni simu ambayo bado haijaingia kwenye international standards kiasi ukitaka kufanya mabadiliko ya hapa na pale inakuwa ngumu kutiririka kama ilivyo kwa devices nyingine. Nahitaji kufanya rooting ya tecno camon cx yangu ila kona kona ni nyingi sana.
Naombeni clear procedures za kufanya rooting
Sent using Jamii Forums mobile app
Naombeni clear procedures za kufanya rooting
Sent using Jamii Forums mobile app