Nahitaji kuifahamu B.A. Economics ya UDSM

Nahitaji kuifahamu B.A. Economics ya UDSM

Moja kati ya kozi bora kabisaa udsm BA economics.

Unaweza kufanya kazi kwenye taasisi za fedha mfano benk, TRA,
Unaweza kufanya kazi kwenye kampuni mbalimbali za kibiashara

Unaweza kujiajiri

Unaweza kuwa mwalimu Wa economics

Kwa kweli hii fani ina sehem nyingi saana na kufanya kazi kwa vile haina deep specialisation ..

Cha msingi kama unasoma economics dogo ukaze msuli GPA isome vizuri pia weewe mwenyewe uwe compitent ....

Jiandae kukutana na walimu wanaobana marks balaa pale udsm kama Dr osorro, Dr mkenda, Mr mkai, Loikina, na wengine wengi wanaofanya maisha ya hii course kuwa ngumu.

Ukiwa unasoma anza kufanya connections mapema za kazi LA sivyo njoo tuungane kuzungusha majembe(bahasha) mtaani

Good luck
PCM anawezasoma??
 
Back
Top Bottom