Nahitaji kuifahamu B.A. Economics ya UDSM

Nahitaji kuifahamu B.A. Economics ya UDSM

Daa mkuu Leo nimefatilia wamenambia wanataka C ya math ya olevel na mm Nina D ila advance Bam Nina E na Eco B Hist C na Geo C sasa sijuh ni apply ivo ivo mkuu naomba ushaur
Jaribu itategemea na competition ya ulioapply nao ,but kwa udsm ni programme nzuri kuisoma
 
Hii kitu tamu sana,me nimeisoma hapo udsm ila walimu wa hapo ni hatari sana.yani walimu wa udsm ukiwa mzembe wanakupoteza mapema.
 
Hii kitu tamu sana,me nimeisoma hapo udsm ila walimu wa hapo ni hatari sana.yani walimu wa udsm ukiwa mzembe wanakupoteza mapema.
Hivi hiyo coz kwa first year topic zake si zile zile za advance level au kuna kitu kipya?
 
kasome education tu utakuja juta huko mbele
 
Economics ya udsm ipo pouwa ila kama vip kwann usitumbukie UDBS pale ukapige kitu cha B.com Accounting naona ipo na uwanja mpana zaid wa ajira ukilinganisha na economics.
 
Back
Top Bottom